Tupia member ambaye yuko banned kwa sasa

Tupia member ambaye yuko banned kwa sasa

Kwenye Avatar yake kunakuwa na hilo chata.

Na pia inakuwa huwezi kuingia kwenye profile yake ukaanzisha conversation.

Na kama unatumia browser ukitaka kum-mention mtu ukianza na jina lake tu mwanzo yanakuja majina yanayofanana ila lake halitokei mkuu.
Kumbe! Asante
 
Mimi na baba swalehe ni mapacha tunaofanana tabia namjua sana yule jamaa alikua anawadai mods trophy point alijua ni hela akanunulie balimi baba swalehe .....ana ... Matatzo sana !![emoji38] [emoji38] [emoji41]

Hahahah, nimecheka ujue huyu jamaa ni sheeeda.
 
Sijui nifanyeje na mimi nile ban,mana haiwezekani mwaka wa tano huu niko humu sijawahi kula ban,au nimtukane Melo?

Dah, hebu fanya hivyo mkuu tena na mie ntakusaidia kiongozi. Hahah. Lol.
 
Back
Top Bottom