ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Kitu og hakuna ma poudaaaa
Huyu jamaa huwa anasema ukweli kwahyo demu wako sio mzuri demu mzuri ni wajamayko good idea of thinking hyo ndo English yangu ukicheka tena apo tumejadilianaasikae juani huyo hayo maplastiki yatayeyuka
Kawaida tu tena.Sisemi Zari ni mbaya ila hana uzuri wa ajabu kama watu wanavyomuelezea
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Wanawake wa vijijin si ndo wamehamia mjini bas tu ile kujisoup soup mnawaona wazur
Ata sis wa kijjin tukija huko mbona tunakua warembo tu ata zaidi
Ana shape ya kihaya haswaa.
Evelyne rugemalira..i adore this woman
Cynthia alikua mzuri. Sijui kama ni mrembo bado
Cynthia masasi ...yuko wapi siku hizi
Warda warid...
nenda kawaone wanyantuzuNampenda sana mwanamke huyu na popote alipo sifa zangu toka moyoni zikufikie.
Nimemtafakari kwa kina sana na kujiuliza kwanini mabinti bongo wamemjengea chuki
Jibu; Zari ni mzuri hakuna anaemzidi hvyo wanabaki na donge au chuki moyon wanatamani kuwa kama yeye.
SIFA ZAKE TUANGALIE
1.Zari ana mwili laini sana
2.Umbo namba 8
3.Rangi imetulia
4.Ukihitaji mguu wa bia anao
5.Kupangilia mavazi anajua
6.Ni mama watoto 5 lakini utasema ni kigoli
7.Ana akili ya kutafuta
8.Kujipenda
Zari Mungu amekusuka kama engine hujaumbwa, wengine wanatamani kuwa kama wewe, hata kama umezaa watoto 3 lakini Diamond ameokota mgodi wa dhahabu au dodo kwenye mwarobaini.
Zari umetokea sayari ambayo wanaishi malaika tupu ni bahati mbaya ukaangukia duniani.
Binafsi wazee Zari nina sifa nyingi za kusema lakini wacha nikae kimya.
ZARI WEWE NI HABARI NYINGINE UPO DUNIANI BAHATI MBAYA ULIPASWA KUWA MALAIKA HUSTAHILI HATA VUMBI LIKUGUSE NATAMANI HATA KUWA HOUSEBOY WAKO PAMOJA NA KUWA UNDERGRADUATE ILI NIKUONE NIKIWA NAMWAGILIA BUSTANI AU KUSAFISHA NYUMBA NIPATE HATA ILE HARUFU YA PAFYUMU YA 2MILLION
ZARI WANAWAKE KWA WAUME WANAKUKUBALI MOYONI KUANZIA UG HADI TZ
Kama wewe mbishi tupia bint anaemzidi uzuri zari The Angel
Alikuwa moto ila aliolewa na mtoto wa mziray....Cynthia alikua mzuri. Sijui kama ni mrembo bado
Yule Mike eeh. Wakafunga ndoa anganiAlikuwa moto ila aliolewa na mtoto wa mziray....
Miriam odemba alikuwa bomb pia
Yap af kuna thread zake humu za wahenga wa jf. Si unajua jf inaeza kukujua kuliko unavyojijua mwenyeweYule Mike eeh. Wakafunga ndoa angani
Mkuu huyu manzi unamjua??
Namjua sana huyu, nshamkosakosa lakini ntarudi tuMkuu huyu manzi unamjua??
Nimewahi kuwa nae kipindi flani
Huku kama google [emoji2]Yap af kuna thread zake humu za wahenga wa jf. Si unajua jf inaeza kukujua kuliko unavyojijua mwenyewe
dongobesh ni wapi nataka nami nikashuhudiwa hao wenye ngozi mtelezoHahahaaa Dongobesh
Mkuu wale watoto wa kule hawajui mafuta ila wanatelezaaa
Nimekaa kaa kule aisee