Tupia picha ya binti yoyote Tanzania anaemzidi Zari kwa uzuri wa kila kitu

[emoji1] [emoji1] [emoji1] au waje pale mlimani city .
 

hanuki?
 
Zari ana uzuri gani bana wewe wanaweke wazuri huwajui nenda huko Dongobesh na karatu huyo mbona anasubiri sana tuu
Dongobesh/ karatu na wengine wa huko ni wazuri sana at their 20s and may be early 30. Ila udongo wao unachoka haraka sana, wanawahi kuzeeka. At 40s ni ajuza kabisa.
 
Rekebisha namba 4 sio mguu wa bia ule wacha kufananisha miguu yetu ya bia na matende.
 
Ngozi yenyewe ya plastiki,tako la kienyeji miguu ya matende ndo unasema Zari mzuri kwa kila kitu..!! Kuna mademu uswazi ni bomba ile mbaya ila tu siyo maarufu
 
Irene Uwoya...na hapo tunaongelea wanawake maarufu...underground sapo kibao watoto wakali..Tunda ni mrembooo tena natural
 
eti mtu wa miraba minne ndo ameanzisha huu uzi hahahaha lool
 
Zari amejichubua ngozi yake sio ya asili mkuu acha ushamba,,,,,,,karibu mjini Dar ambapo unaweza fikiria wanawake wengi ni weupe kumbe full mkorogo wa advance technology
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…