Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaitwaje huu mmea na unaota kwenye uoto upi?Huu mmea ulinishangaza sana!
View attachment 2966400
Huu unaitwa Mshununga, unapendelea kuota maeneo ya visiwani...hasa Zanzibar unguja na pemba.....Unaitwaje huu mmea na unaota kwenye uoto upi?
Ni pazuri Sanaa... napendaga pia kwenda..
mlima meru siyo...
Hapana hanang, meru hauna shape nzuri hivyo.mlima meru siyo...
Mto naukumbuka sana enzi nipo JKT Itende.Mimi nilikutana na huu mto nikavutiwa na mazingira yake nikaamua kupiga picha.Huu unaitwa mto nzovwe.Sio lazima yawe mazingira tu bali kitu chochote ambacho kilikufanya uwe interested nacho.Watu,wanyama,cha msingi isiwe tu picha ya mtu akiwa bafuni anaoga
View attachment 1901472
View attachment 1901480
DigdagaMwendo wa lita tuView attachment 1909087
Mimi nimeupenda tuuuHuo uji mbona unaonekana haujaiva?
Hata miti inajua kujimanua hivi