Tupia picha ya kitu kilichokuvutia mpaka ukakipiga picha

Unaitwaje huu mmea na unaota kwenye uoto upi?
Huu unaitwa Mshununga, unapendelea kuota maeneo ya visiwani...hasa Zanzibar unguja na pemba.....

Watoto wadogo huanza kuuchezea mapema sana!

Matokeo yake nadhani unayaona! Kwa kizazi kinachotokea ukanda huo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…