Tupia picha ya mkoani kwako tufanye utalii wa ndani

Iringa ya kuelekea mtera ambayo ni nusu jangwa, au mbeya hii kipindi hiki Kuna vumbi kama lote, tusidanganyane Tanzania dry season (kipindi Cha kiangazi ) kila eneo nchi zima Kuna vumbi ni sehemu chache sana Tanzania hii hutakuta vumbi kuanzia January mpaka December
 
Msamala ndo kwetu sasa, kweli unapajua Songea.
Msamala wamejaa wachaga, wahaya, na wakinga, wameweka mijengo ya maana.

Tunakuita ushuaani. [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Bukoba na baadhi ya wilaya za mkoa wa kagera ndo sehemu pekee Tanzania ni kijani mwaka mzima...
Ogopa sehemu inayopokea zaidi kiwango cha mvua cha 2000mm kwa mwaka...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Msamala ndo kwetu sasa, kweli unapajua Songea.
Msamala wamejaa wachaga, wahaya, na wakinga, wameweka mijengo ya maana.

Tunakuita ushuaani. [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Weee Coca weweee, nini kunifunga kamba baba yako kama mimi? Ushuani ni Mahenge maeneo ya Angoni arms[emoji23][emoji23], Mchagga mwenyewe mwenye mjengo si ni Mauki tu? Naye kafulia au uongo?[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…