mshamba_mwingine
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 1,057
- 4,145
nikajua wewe wa kaskaziniWatu wa kaskazini wajuaji sana kama dada yake tu 😂😁
na kitambi hicho una wasifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nikajua wewe wa kaskaziniWatu wa kaskazini wajuaji sana kama dada yake tu 😂😁
Mimi ni wa huko ila sio mjuaji 😎😎nikajua wewe wa kaskazini
na kitambi hicho una wasifu
Moshi mjini.Fahari ya africaView attachment 2302305
ila una mdomoMimi ni wa huko ila sio mjuaji 😎😎
Moshi mjini round about.
ChaiMoshi mjini round about.
Kila binadamu ana mdomo 😎ila una mdomo
🥹Tusamehe! Basi tunaondokaephen_ na swahiba wako Vincenzo Jr mngepotezea hii mambo asee🤔
arusha hiyoMoshi mjini round about.
dogo kuwa na adabu sawa?Kila binadamu ana mdomo 😎
Nikalete mchanga mpute?🤔dogo kuwa na adabu sawa?
Ni sahihi kabisa baada ya kuiangalia picha kwa umakini maana panafanana, shukrani mkuu wangu.arusha hiyo
Unamwambia mtu wa miaka 36 dogo [emoji16][emoji23]dogo kuwa na adabu sawa?
Nitampiga hadi atokwe na makamasiNikalete mchanga mpute?[emoji848]
Nakazia [emoji3]Haujui kitu
Wewe mmakuwa au mmakonde ?Kwetu[emoji3526][emoji3526]