mjenziwakale
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 954
- 1,469
Hili dude nshalikosakosa asee...... muda ndo ulileta mizengwe
Kwa hapa chai yko sinywi huyu demu hayuko chuo maskani kwake na mbezi beach na anapiga zile biashara za watu wakubwa ila ni kwa mtandao
Semegi enu hiyo mumuheshimie
UDSM
UDOM
SAUTI
SUA
ST JOHN
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]
Mademu wa Chuo cha Tiba Asili Tarime CTAT.
HaswaaaKicheche hiki si demu mkali
Yupo Chuo gani? Dem or man ntauliza baadae
Wako kimikakati zaidi
Mademu wa Chuo cha Tiba Asili Tarime CTAT.
Mbona kama nabii Tito huyu
[emoji8] [emoji8] [emoji8] R.I.P Beauty
Hivi kale kaaskari kalikofyatua risasi iliyomuua binti mrembo namna hii asiyekuwa na hatia yoyote atakuwa kanajisikiaje?Rip aquilina
Hapo je?
Hizi lips inabidi alipie ushuru aisee.
nahitaji kumuona daktari aniambie hili tatizo kama ni nature au linakuja tu baada ya kuhamasishwa.