Tupia staili yako jinsi unavyotongozaga!!

Siri ya mwanamke yoyote ukitaka kumpata, Anza kwa kumsifia basi utakuwa umemaliza! !
 
mi huwa sina maneno..
namuuliza tu, we vipi, baadae una muda..??
nataka tutoke out nkugegede!
 
mi huwa sina maneno..
namuuliza tu, we vipi, baadae una muda..??
nataka tutoke out nkugegede!
Humu JF kumeniponza hasa Ushauri huu[emoji121] [emoji121] [emoji121]. Niliamua kuujaribu. Kilichonikuta ni siri ya watu wawili[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naona bora niendelee kutongoza tu
 
 
Humu JF kumeniponza hasa Ushauri huu[emoji121] [emoji121] [emoji121]. Niliamua kuujaribu. Kilichonikuta ni siri ya watu wawili[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naona bora niendelee kutongoza tu
haaaa haaaa..
mkuu nmecheka hadi jino la mwisho,
nipe mrejesho mkuu...usinibania ata PM
 
haaaa haaaa..
mkuu nmecheka hadi jino la mwisho,
nipe mrejesho mkuu...usinibania ata PM
Hapa shavu moja jekunduuu halafu linaumaa... ila sielewi kwanini kwasababu nilizinduka na kujikuta hivyo...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…