flintsky
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 654
- 746
Ya leo kali mentali.
Kusema ukweli jinsi ya kumuingia
Mwanamke inahitaji kumsoma sana maana unaweza kumparamia akakuumbua.
Na hakuna jambo baya mwanaume halipendi kama kukatataliwa!
Kila mwanaume huwa ana mtindo wake wa kukamata totozi
Acha me nianze kuwapa mbinu yangu.
Huwa kwanza naanza kutafuta njia nipate namba ya simu baada ya hapo naanza na salamu nyingi na utani utani hiyo inaweza kuchukua hata wiki 2 ndo ule mzigo!
Sema inauma we unahangaikia wiki kuna watu wakimtaka kwa siku tu wanamtaka!
Embu mwageni na nyie mauchawi mnayotumia kukamata hizi dogodogo
Kusema ukweli jinsi ya kumuingia
Mwanamke inahitaji kumsoma sana maana unaweza kumparamia akakuumbua.
Na hakuna jambo baya mwanaume halipendi kama kukatataliwa!
Kila mwanaume huwa ana mtindo wake wa kukamata totozi
Acha me nianze kuwapa mbinu yangu.
Huwa kwanza naanza kutafuta njia nipate namba ya simu baada ya hapo naanza na salamu nyingi na utani utani hiyo inaweza kuchukua hata wiki 2 ndo ule mzigo!
Sema inauma we unahangaikia wiki kuna watu wakimtaka kwa siku tu wanamtaka!
Embu mwageni na nyie mauchawi mnayotumia kukamata hizi dogodogo