Tupia top 4 yako EPL 2019/2020

Hata ligi haijaisha ushajitapa upo ndan ya top 4

Subir jumatatu narud nafas yangu

Ivi wewe uliwapa chelsea michezo mingapi?

Nahisi nane au tisa ohoo 10. Zimebaki ngapi ili tuwe namba 15🤪🤪🤪🤪🤪

Nakumbushia tu mkuu
 
Ivi wewe uliwapa chelsea michezo mingapi?

Nahisi nane au tisa ohoo 10. Zimebaki ngapi ili tuwe namba 15[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Nakumbushia tu mkuu
Niliwaambia ndan ya michezo 10 hamuwez kuwepo ndan ya top 4 ,

Nafas ya 10-15

Hiyo lazima

Tupo hapa nitakuja kufukua kaburi

Sasa hiv ratiba inawadanganyeni mna timu ya kuingia hata top 8
 
Usajili Siku hizi hauleti impact kubwa sana uwanjani ..angalia

Chelsea hajafanya usajili lakini mwenendo wake ni mzuri.
Arsenal kafanya usajili mwenendo wake ni mzuri.
Man united kafanya usajili mwenendo wake hausomeki.
Liverpool hajafanya usajili mkubwa na wa maana, mwenendo wake ni mzuri.
Spurs kasajili kweli ..mwenendo wake unashuka.
Man City kasajili pia, ila Naye anapanda na kushuka.

Hivyo usajili kwa misimu ya hivi karibuni haujaleta impact kubwa labda kuna adha faktaz zinazochangia timu isipafomu kama mbinu za kocha, pressure ya timu na ligi pia.

Muhimu ni kutumia wachezaji waliopo na kuwa trust kwa kuwapa nafasi zaidi ila kupata uzoefu. Japo kusajili bado ni muhimu sana.

Kila la kheri Chelsea[emoji170][emoji170][emoji170]
 
Sawa baba
Niliwaambia ndan ya michezo 10 hamuwez kuwepo ndan ya top 4 ,

Nafas ya 10-15

Hiyo lazima

Tupo hapa nitakuja kufukua kaburi

Sasa hiv ratiba inawadanganyeni mna timu ya kuingia hata top 8
 
Nimesoma post zote, Liverpool imwekwa top 4 kasoro ng'ombe mmoja tu ndo ameitoa. Kwa hesabu za probability Liverpool ndo bingwa. Therefore :

Liverpool
Man city
Chelsea
Tottenham
Mtoe spurs muweke Arsenal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…