Sawa muda ndio hakimu mzuriMiaka mi5 iliyopita kama mtu angeandika Leicester atakuwa no. 1 angechekwa.
Mpira wa wazungu hauchezwi nje ya uwanja ndio maana kila kitu kinawezekana
Mkuu mbona una mashaka sana na Arsenal!Arsenal hii hii ama Arsenal Tula?
Hahhh1. Man City
2. Man Utd
3. Chelsea
4. Liverpool
Nuno Espirito atakuwa kocha wa kwanza kutimuliwa kwenye timu kubwa!
Mashabiki wa Man U utawajua tu. Hasira zote kwa Chelsea1. Man U
2. Man city
3. Spurs
4.Arsenal
5. Leeds united
6. Liverpool
7.Arsenal
8. Leicester city
9. Everton
10.Wolves
11. Chelsea [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mashabiki wa nyumbu hawaipendi Chelsea ile mbaya binafsi nimeshangaa wewe kuiweka hata hiyo nafasi ya nneMan United
Man city
Leicester city
Chelsea
Huyu atakuwa mshabiki wa ArsenalArsenal nafasi ya 4 na 7.!??