Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kweli nyumbu SquareMan u
Asernal
Liverpool
Leicester
Topscorer
Salah
Lacazate
calvate-Lewing
The Gunners wanazidi kupanda1. Tottenham
2. Man U
3. Man City
4. Aston Villa
5. Leicester
6. Chelsea
7. Liverpool
8. Leeds
9. Everton
10. Brighton
11. Wolves
12. West Ham
13. Crystal Palace
14. Newcastle
15. Southampton
16. Burnley
17. Arsenal 😂😂
18. Norwich
19. Brentford
20. Watford
Msimu huuafika mwisho labda nimuondoe Leicester ni muweke Chelsea otherwise unless bado naamini man u, arsenal na Liverpool wapo top 4We kweli nyumbu Square
Wewe unakichaa na mpira ujui watu kama nyinyi mkiwa mnabet mtaishia kuliwa hela zenu kwasababu mnatanguliza mapenzi ya team badala kuangalia mpira kiujumlaMsimu huuafika mwisho labda nimuondoe Leicester ni muweke Chelsea otherwise unless bado naamini man u, arsenal na Liverpool wapo top 4
Hayo ni maoni na mtazamo wangu,Sasa wewe ni lazimishe ni amini Man City anaingia top 4 bila kuwa na typical striker.Wewe unakichaa na mpira ujui watu kama nyinyi mkiwa mnabet mtaishia kuliwa hela zenu kwasababu mnatanguliza mapenzi ya team badala kuangalia mpira kiujumla
Niambie sababu za msingi zakumuondoa Chelsea na Man city kwenye Top 4 zako nakuwaweka Arsenal na Leicester city kama si uchizi ni Nini?Hayo ni maoni na mtazamo wangu,Sasa wewe ni lazimishe ni amini Man City anaingia top 4 bila kuwa na typical striker.
Hiyo top 4 niliiweka kabla dirisha hakijafungwa na kabla lukaku hayupo Chelsea ila saivi top 4 yanguNiambie sababu za msingi zakumuondoa Chelsea na Man city kwenye Top 4 zako nakuwaweka Arsenal na Leicester city kama si uchizi ni Nini?
Naunga mkono hii mpangilio ila ManU mtoe hapoKuelekea kuanza kwa msimu mpya wa ligi pendwa duniani al maarufu EPL hapo Jumamosi ya tarehe 13, Agosti 2021.
Hii ndio top 4 yangu kwa msimu huu mpaka inafika tamati.
1. Chelsea FC
2. Man City
3. Leicester City
4. Man United
Tupia na yako
Uliona mbali sana hapo kwenye kipengele cha Nuno kutimuliwa mapema.1. Man City
2. Man Utd
3. Chelsea
4. Liverpool
Nuno Espirito atakuwa kocha wa kwanza kutimuliwa kwenye timu kubwa!
Kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa ligi pendwa duniani al maarufu EPL hapo Jumamosi ya tarehe 13, Agosti 2021.
Hii ndio top 4 yangu kwa msimu huu mpaka inafika tamati.
1. Chelsea FC
2. Man City
3. Leicester City
4. Man United
Tupia na yako
Ulitisha sana hapo kwa Nuno ila huo msimamo wako ni Feki..1. Man City
2. Man Utd
3. Chelsea
4. Liverpool
Nuno Espirito atakuwa kocha wa kwanza kutimuliwa kwenye timu kubwa!
Arsenal atamtoa Chelsea hapoNafasi 3 za juu ziko wazi
City
Liver
Chelsea
Hapo kwenye 4 lazima kiumane kati ya Utd, Arsenal na Spurs. Wote hawa wana nafasi kuingia top four