Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafasi 3 za juu ziko wazi
City
Liver
Chelsea
Hapo kwenye 4 lazima kiumane kati ya Utd, Arsenal na Spurs. Wote hawa wana nafasi kuingia top four
Nina mda Sana sijaangalia mechi za Utd, sitaangalia Tena maana naona Sina wa Kumwangalia kama mchezaji Ila Kuna Vitoto VingiMan United bure kabisa na tatizo sio kocha kumbe ila shida iko kwa wachezaji akina Maguire, Lindelof na Bailly sio mabeki wa kuweka kufanya timu iwe kwenye nafasi yoyote ya maana.
Wakijitahidi sana wanaweza kwenda Europa msimu ujao ila top four wasahau hawana timu ya kuingia top four.
Jamani mjue mkague bashiri zenu zilivyoenda chaka🤣🤣Kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa ligi pendwa duniani al maarufu EPL hapo Jumamosi ya tarehe 13, Agosti 2021.
Hii ndio top 4 yangu kwa msimu huu mpaka inafika tamati.
1. Chelsea FC
2. Man City
3. Leicester City
4. Man United
Tupia na yako
BhangeMan city fans ,but Chelsea wanabeba hili kombe ...
Chelsea
Man city
Man utd
Liverpool...
Liverpool watapoteana Sana December - January....
Mkuu ulichemka MBAYA...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa ligi pendwa duniani al maarufu EPL hapo Jumamosi ya tarehe 13, Agosti 2021.
Hii ndio top 4 yangu kwa msimu huu mpaka inafika tamati.
1. Chelsea FC
2. Man City
3. Leicester City
4. Man United
Tupia na yako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]1. Tottenham
2. Man U
3. Man City
4. Aston Villa
5. Leicester
6. Chelsea
7. Liverpool
8. Leeds
9. Everton
10. Brighton
11. Wolves
12. West Ham
13. Crystal Palace
14. Newcastle
15. Southampton
16. Burnley
17. Arsenal [emoji23][emoji23]
18. Norwich
19. Brentford
20. Watford
We pekee ulijaribu...[emoji106]ingawa hapo city anaweza toka[emoji106]1. Man City
2. Liverpool
3. Chelsea
4. Spurs
Nuno Espirito atakuwa kocha wa kwanza kutimuliwa kwenye timu kubwa!
Wanachukua kombe huku njoo uwaoneMan city fans ,but Chelsea wanabeba hili kombe ...
Chelsea
Man city
Man utd
Liverpool...
Liverpool watapoteana Sana December - January....
Mkuu ungeweka hela saizi ungekuwa unachekelea [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]1. Man City
2. Liverpool
3. Chelsea
4. Spurs
Nuno Espirito atakuwa kocha wa kwanza kutimuliwa kwenye timu kubwa!
Man u kipindi cha fegi walikuwa wanabebwa na FA now mambo yamebadilikaMan United bure kabisa na tatizo sio kocha kumbe ila shida iko kwa wachezaji akina Maguire, Lindelof na Bailly sio mabeki wa kuweka kufanya timu iwe kwenye nafasi yoyote ya maana.
Wakijitahidi sana wanaweza kwenda Europa msimu ujao ila top four wasahau hawana timu ya kuingia top four.
1. Man united
2. Man city
3. Chelsea
4. Liverpool
[emoji817]Norwich anashuka haachi asili yake
Hii kitu inaenda kutumia kwa asilimia 95.1. Man City
2. Liverpool
3. Chelsea
4. Spurs
Nuno Espirito atakuwa kocha wa kwanza kutimuliwa kwenye timu kubwa!
Inaonekana wewe bado mtoto, mambo ya mpira hujui umekuja kudandia majuzi kwa kufuata mkumbo. Angalia historia ya vilabu mbalimbali duniani ndio upate mwanga.Man u kipindi cha fegi walikuwa wanabebwa na FA now mambo yamebadilika
🔥🔥🔥1. Man City
2. Liverpool
3. Chelsea
4. Spurs
Nuno Espirito atakuwa kocha wa kwanza kutimuliwa kwenye timu kubwa!