Tupia utabiri wako Simba vs Al Ahly

babu onyango

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2023
Posts
378
Reaction score
984
Kesho ndio ile siku ya ufunguzi wa AFRICAN FOOTBALL LEAGUE( AFL) ambapo mechi ya ufunguzi itazikutanisha Simba S.C ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri.

Tupia utabiri wako hapo chini
 
Kesho ndio ile siku ya ufunguzi wa AFRICAN FOOTBALL LEAGUE( AFL) ambapo mechi ya ufunguzi itazikutanisha Simba S.C ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri.

Tupia utabiri wako hapo chini
Kama alivyo tabiri Mwana familia wa JF muda wa mchana, sikumbuki title ya bandiko lakini naiona simbwa ikicharazwa bakora 6 kwa nunge bila tashwishwi yeyote
 
Kesho ndio ile siku ya ufunguzi wa AFRICAN FOOTBALL LEAGUE( AFL) ambapo mechi ya ufunguzi itazikutanisha Simba S.C ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri.

Tupia utabiri wako hapo chini
Mwarabu atakufa 2-0. Kwao atakufa 1-0.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…