babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 378
- 984
Kesho ndio ile siku ya ufunguzi wa AFRICAN FOOTBALL LEAGUE( AFL) ambapo mechi ya ufunguzi itazikutanisha Simba S.C ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri.
Tupia utabiri wako hapo chini
Tupia utabiri wako hapo chini