Kama kinyamkela kimtoe kiti😀Unatengeneza watu wasio na uwezo, unawapa nafasi, wanaharibu kwelikweli kisha unahangaika kuwatoa....
Hakuna ama ni dhaifu kabisa.Ulinzi Ukiwa mkali, USALAMA ukoje?
Gesi ya Mtwara taifa linapata asilimia gapi?"Nasemaje tupige siasa tuzodowane ila kwenye akili. Kumbuka ulinzi ni mkali, haijapata kutokea. Sio mipakani, sio kwenye mitaa, sio kwenye taasisi. Bwana weee, usijichanganye, utakutana na bibi na bwana. Mwana, utalia tena, sali. Wasikubambe unahujumu uchumi au una panga mambo maovu. Ukorudi tusimulia. Naomba ukatoe sadaka... Shikamoo Jamuhuri ya Muungano."