Aiii jamani we kaka
Nimekukunda gaflaNimefanyaje mdada.?
Dumu kabisa kubwa zile za lita tanoUlikuwa unabeba jagi au lita mbili kama kikombe chako cha uji
Umepatia kabisaaaaa, mwanzoni lazima ushtuke kidogo utadhani anakuchora hahahaha, ila wapo vizuri aisee!wabebez wa mwanza bhana..... ukimtongoza binti wa kisukuma yeye hajibu kitu, unaweza kuongea nusu saa nzima yeye kimyaaaa
unaomba namba anakupa... unajikuta umekula kimya kimya
Aithee watu mnamambo disasterhata mimi huwa nasikia hivo mimi namchukia yaani nikikutra simba anamla nampa na kachumbari na pepsi ya kushushia! alikufanyia nini shosti?
Nimekukunda gafla
Kupenda.... KichagaKukunda ndo nini?
He hee dada zenu haowabebez wa mwanza bhana..... ukimtongoza binti wa kisukuma yeye hajibu kitu, unaweza kuongea nusu saa nzima yeye kimyaaaa
unaomba namba anakupa... unajikuta umekula kimya kimya
He hee dada zenu hao
He hee dada zenu hao
Miss you too Ngabu...Hi Vale....miss you!
Wako vizuri tehWifi zako hao...
Ha haa but am not u'r type
Vip nilivaa wakati tunacheza mpira ghafla naikuta imepanda tumboni [emoji28] [emoji28]Hahaaha mmh wa kiume labd alivaa VIP [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kupenda.... Kichaga
Not u'r type[emoji125] [emoji125] [emoji125]Baby come back
Nakukunda yani nakupendaIkimaanisha?