Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
ahahaa kwali alikuwa amepotelea wapi mpaka akaenda kuumuka kama ugali wa mama ntilie wenye hamira?Haahaa nilikutana naye somewhere katikat y mji amenenepeana kama tembo kitambi kama ana mimba ya kujifungua honest nilijiuliza ilikuaje nikawa na kituko kama kile those days aaarrghhhhhh tho alikua hajaumuka hvyo
Hakuamini nilivyokimbilia daladala
Mpinzani vipi hali?poa tupige story gani?
hapana mimi sikuwai wewe ulikuwa unavaa chupi?Shule ya msingi hujawahi kuvaa sketi iliyotoboka??? Ha ha ha
mpinzani kivipi?Mpinzani vipi hali?
Nilivaa saaaaaaaana, mpaka viatu vya chachacha, shule ya msingi, enzi za kubeba kuni sijui tofali kwaajili ya ujenzi wa jiko la mwalimuhapana mimi sikuwai wewe ulikuwa unavaa chupi?
ulikuwa unamiliki chupi ngapi?Nilivaa saaaaaaaana, mpaka viatu vya chachacha, shule ya msingi, enzi za kubeba kuni sijui tofali kwaajili ya ujenzi wa jiko la mwalimu
Mimi Arsenal wewe wapi? Upinzani wetu upo huko sasampinzani kivipi?
Sipati notification direct from my app mpk niingie kwenye website yaan ndio nazid kua bored!nyie mnapata notification kawaida?
ahahaa ungemtafutia gym,unamuacha mtu kisa unene tu jamani? sema ulishapata kitu kipya kizuriSijui hata nilikutana naye bahat mbayaaa hahahah
mmmh unanitafuta eejMimi Arsenal wewe wapi? Upinzani wetu upo huko sasa
Ha ha sijawahi aisee, nilikuwa kwa level ya utoto mama alikuwa mwangalizi wangu enzi hizoHahaha sijawahi kweli we vp
ulivaa viatu vimetoboka hahaha