Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
HeheheUlevi uho kijana tunza figo na mapafu π
Itakuwa poa usisahu kutupia picha piaHii lazima niijaribu Jumamosi hii...
Namtunzia nani..?Ulevi uho kijana tunza figo na mapafu π
Wajukuuu wakukute bhna πNamtunzia nani..?
Umeanza kuwa janabi
Hehehe!!!Makande nayapenda ya msibani tu πΉπΉ
Karibuni sana wakuuWe jamaa umefanya sasa wengine tuwe tunapitia hili jukwaa la napishi.
Hongera
ππ kwanini?Makande nayapenda ya msibani tu πΉπΉ
Yananoga yanapikwa huku marehemu anasimangwa amekufa kwa uzembe wake kwann hakutumia kinga mpk kaungwa gridi ya taifa..!! πΉπΉπΉππ kwanini?
Tutolee ushamba wako ulitaka waweke mtindi πΉhongera, japo mimi sipendi mapishi ya nazi.
Mkuu iyo kitu ukishiba tu kila mtu unamuona kengee tuπNakingojea kesho
Ahahahah karanga ya kusaga nimekosa so nimetumia kama mbadalahongera, japo mimi sipendi mapishi ya nazi.
ππ ase akili yako unaiweza mwenyewe πYananoga yanapikwa huku marehemu anasimangwa amekufa kwa uzembe wake kwann hakutumia kinga mpk kaungwa gridi ya taifa..!! πΉπΉπΉ
Na alikuwa mkali kunywa dawa mpk cha kichwani kimemuua π€£
Kabisa na kitambi juuMkuu iyo kitu ukishiba tu kila mtu unamuona kengee tuπ
Mh! ngoja nifikirieWajukuuu wakukute bhna π
kabsa mzee kula na kunywa hapa duniani ni muhimu mbinguni huko tukifika hakuna vyakula wala vinywaji ni mwendo wa mapambioImepitaaa