Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
HeheheUlevi uho kijana tunza figo na mapafu 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeheheUlevi uho kijana tunza figo na mapafu 😂
Itakuwa poa usisahu kutupia picha piaHii lazima niijaribu Jumamosi hii...
Namtunzia nani..?Ulevi uho kijana tunza figo na mapafu 😂
Wajukuuu wakukute bhna 😂Namtunzia nani..?
Umeanza kuwa janabi
Hehehe!!!Makande nayapenda ya msibani tu 😹😹
Karibuni sana wakuuWe jamaa umefanya sasa wengine tuwe tunapitia hili jukwaa la napishi.
Hongera
😂😂 kwanini?Makande nayapenda ya msibani tu 😹😹
Yananoga yanapikwa huku marehemu anasimangwa amekufa kwa uzembe wake kwann hakutumia kinga mpk kaungwa gridi ya taifa..!! 😹😹😹😂😂 kwanini?
Tutolee ushamba wako ulitaka waweke mtindi 😹hongera, japo mimi sipendi mapishi ya nazi.
Mkuu iyo kitu ukishiba tu kila mtu unamuona kengee tu😁Nakingojea kesho
Ahahahah karanga ya kusaga nimekosa so nimetumia kama mbadalahongera, japo mimi sipendi mapishi ya nazi.
😂😂 ase akili yako unaiweza mwenyewe 😂Yananoga yanapikwa huku marehemu anasimangwa amekufa kwa uzembe wake kwann hakutumia kinga mpk kaungwa gridi ya taifa..!! 😹😹😹
Na alikuwa mkali kunywa dawa mpk cha kichwani kimemuua 🤣
Kabisa na kitambi juuMkuu iyo kitu ukishiba tu kila mtu unamuona kengee tu😁
Mh! ngoja nifikirieWajukuuu wakukute bhna 😂
kabsa mzee kula na kunywa hapa duniani ni muhimu mbinguni huko tukifika hakuna vyakula wala vinywaji ni mwendo wa mapambioImepitaaa