Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
deletdliccm!
Weka na ile ya Mbowe akisema mwisho wake wa uenyekiti ni 2024. Usisahau na ile ya kuwa Lowassa ni fisadi. Hapo tutakuwa kwenye nafasi nzuri ya kupima unachotaka tukiamini.Msikilize huyu, halafu useme kama wenye akili wanaweza kumwamini kesho na keshokutwa
Fine zitafute uziweke... ndiyo maana ya uzi huu!Weka na ile ya Mbowe akisema mwisho wake wa uenyekiti ni 2024. Usisahau na ile ya kuwa Lowassa ni fisadi. Hapo tutakuwa kwenye nafasi nzuri ya kupima unachotaka tukiamini.
Amesema wapi kwa wakati huo?Unamlisha maneno?Kwa wakati huo... elewa sana we liccm!
Kwani nimekukosea adabu kukuitia jina la chama chako liccm? 🤣mamayako vile vile ni liccm
neno "li" ni derogatory!Kwani nimekukosea adabu kukuitia jina la chama chako liccm? 🤣
Acha makasiriko muambiwe ukweli maccm
Amesema wapi kwa wakati huo?Unamlisha maneno?
poa basi mwana ccm! Ila acheni roho mbayaneno "li" ni derogatory!
huyu muungwana asie aminika,Msikilize huyu, halafu useme kama wenye akili wanaweza kumwamini kesho na keshokutwa

poa poa yamekwisha.poa basi mwana ccm! Ila acheni roho mbaya
Kwa nini unatumia maneno magumu?neno "li" ni derogatory!
Kwani ni dhambi mtu kutengua kauli yake? Mwaka 2019 Mbowe alisema 2024 hatagombe tena uenyekiti mbona sasa yupo kwenye kinyang'anyiro?Msikilize huyu, halafu useme kama wenye akili wanaweza kumwamini kesho na keshokutwa
Hiki ndicho wengi wasichoelewa.poa poa yamekwisha.
Mimi ni chadema kufa kupona ndiyo mana inaniuma ikipasuka.
Lisu nilikuwa nampenda sana, my gfavirite politician. "nimemchoka" kutokana na njia anazotumia kupata uenyekiti.
Actually katika hali ya kawaida nami ningelimpa Lisu kura. sasa anatafuta madaraka at the detriment of chama chake, kuwatukana wenzake, kuwasingizia vitu havina evidence.... etc etc! Kumbe hafai!
Mkuu, natofautiana hadharani na wewe kwa jambo hili mojapoa poa yamekwisha.
Mimi ni chadema kufa kupona ndiyo mana inaniuma ikipasuka.
Lisu nilikuwa nampenda sana, my gfavirite politician. "nimemchoka" kutokana na njia anazotumia kupata uenyekiti.
Actually katika hali ya kawaida nami ningelimpa Lisu kura. sasa anatafuta madaraka at the detriment of chama chake, kuwatukana wenzake, kuwasingizia vitu havina evidence.... etc etc! Kumbe hafai!
Siasa ni timing, pia yaleo sio ya Jana.Msikilize huyu, halafu useme kama wenye akili wanaweza kumwamini kesho na keshokutwa
Msikilize huyu, halafu useme kama wenye akili wanaweza kumwamini kesho na keshokutwa
Msikilize huyu, halafu useme kama wenye akili wanaweza kumwamini kesho na keshokutwa