Tupo Baba Wawili mtoto Mmoja.

Tupo Baba Wawili mtoto Mmoja.

Na wanaume wanaodandia wanawake wa barabarani unawaitaje?

mwanamke hana location maalum ya kukutana naye mpk mnaanza mapenzi, mbona wanawake wanakutana na vijana barabarani na wanajenga mahusiano imara, ila wanawake ndio shida yani ata ukimzawadia zahabu, bado anaweza kukusaliti kisa Kababu! foolish sana wanawake
 
wanawake ni mashetani yani hii ni kweli kabisa, kama we ni mwanaume na unabisha, Subiri utakuja thibitisha na wewe kama mi ninavyothibitisha.
D TARGET unapotamka maneno uwe unafikiria yana maana gani. Kwa hiyo kwa vile unathibitisha kuwa wanawake ni mashetani hapo ujue umemjumuisha hata bibi zako, mama yako na dada zako. Kwa reasoning hiyo hiyo unatuambia hapa kuwa wewe ni mtoto wa shetani mmojawapo ambaye ni mama yako. Jamani wakati mwingine msikimbilie kuropoka tu kwa hasira ya kukosewa na mtu mmoja mnatukana mpaka wale walio wa thamani kubwa kwenu.
 
Last edited by a moderator:
Kuna binti nilikuwa ninamahusiano naye ya kimapenzi, Binti anaishi mkoa wa Dodoma mi ninaishi Pwani, huyu binti kunakipindi aliniambia anaujauzito wangu, hyo ilikuwa ni baada ya mimi kwenda Dodoma na kushirikiana naye kimwili, then mi nikarudi Pwani, Baada ya kunipa taharifa, muda ulivyokuwa unazidi kuendelea ikawa tunaendelea kuwasiliana na anapoitaji matumizi nikawa namtumia kama kawaida.
Ilivyofika miezi Tisa Binti akajifungua mtoto wa Kiume! Baada ya binti kujifungua akaja Mpk kwangu then nikampeleka mpk Iringa kwa wazazi wangu, ili wapate nafasi ya kumpa pongezi zao, na kumfahamu mjukuu wao. Baada ya binti kukaa kwa wazazi kama wiki tatu hv, zikatokea rumous kuwa binti anatembea na Moja ya wapangaji wa pale nyumbani kwa wazazi wangu, binti nilivyomuuliza akabisha kwamba hakuna kitu kama hcho. Siku chache zilizofuata binti akaondoka Nyumbani na kurudi Dodoma, akada mmiliki wa nyumba aliyopangisha uko Dodoma amempigia simu na kumwambia kuwa anataka kodi ya nyumba yake lasivyo atatoa vyombo vyake nje hvyo ameamua kwenda ili akamalizane na Baba mwenye nyumba.
Ikawa tunaendelea kuwasiliana na kusaidiana kama kawaida ktk kipind chote, na akawa amedai kuwa muda siyo mrefu atarudi kumleta mtoto kwangu kwani baba mwenye nyumba wamesha malizana.
Hv majuzi nimempigia simu nikashangaa simu yake imepokelewa na mwanaume, jamaa akajitambulisha kama yeye ni Mume wa huyo Binti, aikuwa shida nikamwambia mi ni mzazi mwenzake na huyo binti! Jamaa akiniambia ok we ndiyo Baba Akram, ikabidi nigune kidogo, nikamwambia mi siyo baba akram mi Baba Junior! Jamaa akaniuliza Junior ndio nani, sababu jamaa alikuwa mwelewa ikabidi tuanze kujuzana zaidi, mwisho wa siku nikagundua kuwa kumbe kuna Jamaa mwingine ambaya naye pia ni Baba wa Yule Mtoto na ndiye aliyempa yule mtoto ilo jina la Junior, na huyo jamaa ndiye anayeishi na yule mtoto kwa sasa baada ya yeye Binti kupewa ujauzito na huyo jamaa anayeishi naye kwasasa.
Binti nikimpigia simu anabaki anajing'ata ng'ata tu, sasa wadau wa JF haswa wale ambao wanaijua vizuri sheria ya mambo ya uzazi, nimfanyieje huyu binti?

eeh eeh eeh eeh!!!! Yamekukuta eeeehhhhh!!! Pole sana. Ndio dunia hiyo. Walimwengu wabaya sana.
 
D TARGET unapotamka maneno uwe unafikiria yana maana gani. Kwa hiyo kwa vile unathibitisha kuwa wanawake ni mashetani hapo ujue umemjumuisha hata bibi zako, mama yako na dada zako. Kwa reasoning hiyo hiyo unatuambia hapa kuwa wewe ni mtoto wa shetani mmojawapo ambaye ni mama yako. Jamani wakati mwingine msikimbilie kuropoka tu kwa hasira ya kukosewa na mtu mmoja mnatukana mpaka wale walio wa thamani kubwa kwenu.

ok let me put this way, Asilimia 80 ya wanawake wanashindwa kumudu ya mapito ya Dunia mwishowe wanajikuta wameishia katika matendo ya kishetani. Sijui chanzo ni Upendo walionao au ni udhaifu wao. Ebu jaribu kufanya research kwanini watoto wengi wa kitanzania wanalelewa katika Single parent family, watoto wangapi wanaolelewa na mababa ambao siyo wao? na nini chanzo cha mahusiano mengi ya kimapenzi kuvunjika. Kwani tafsiri sahihi ya ushetani ni nini?
 
Last edited by a moderator:
ok let me put this way, Asilimia 80 ya wanawake wanashindwa kumudu ya mapito ya Dunia mwishowe wanajikuta wameishia katika matendo ya kishetani. Sijui chanzo ni Upendo walionao au ni udhaifu wao. Ebu jaribu kufanya research kwanini watoto wengi wa kitanzania wanalelewa katika Single parent family, watoto wangapi wanaolelewa na mababa ambao siyo wao? na nini chanzo cha mahusiano mengi ya kimapenzi kuvunjika. Kwani tafsiri sahihi ya ushetani ni nini?

Kwa hiyo ndugu yangu hayo matatizo yote uliyoyataja anayeyasababisha ni mwanamke tu? Hebu jaribu kifikiria zaidi ya hapo.
 
Kwa hiyo ndugu yangu hayo matatizo yote uliyoyataja anayeyasababisha ni mwanamke tu? Hebu jaribu kifikiria zaidi ya hapo.

may b sababu nimeshapatwa na tatizo ambalo chanzo ni mwanamke direct. Ila siyo 100 percent wapo wengine wako poa, ila most of them Dunia imewazidi ubora.
 
Pole mkuu. namfahamu jamaa ambaye alikuwa na tatizo kama la kwako. Kibaya zaidi mtoto alibatizwa mara mbili kwa baba huyu na kwa baba huyu pia yani na majina yalitolewa na bibi mzaa baba huyu na bibi mzaa baba yule. Kwa bahati mbaya kwa sasa baba wote wawili wamefariki, yule mama na mtoto pia. Baba mmoja alikuwa jamaa yangu.

Ongea na huyo baba mwingine ikiwezekana mumpime mtoto. kama wako mchukue maana kwa mama huyo atakua na malezi mabaya.
 
Back
Top Bottom