Tupo kama kilele cha Wkii ya Wananchi kinawshusu TFF. Kama haiwahusu, wanawzaje kuwa na mamlaka nalo?

Tupo kama kilele cha Wkii ya Wananchi kinawshusu TFF. Kama haiwahusu, wanawzaje kuwa na mamlaka nalo?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kwanza nitamke wazi kuwa mimi ni shabiki wa Yanga kabla ya kuandika ninachotaka kukiandika hapa.

Tukirudi kwenye mada, TFF kama shirikisho la soka hapa nchini, ni wazi limeundwa kwa mujibu wa sheria na shughuli zake zinafahamika na bila shaka lina mipaka yake

Kwa misingi huo, si kila tukio linalohusu soka linasimamiwa na TFF mengine yako katika ngazi za vilabu na yanaishia katika ngazi za vilabu na wala hayahitaji idhini wala baraka za TFF.

Kwa msingi huu pia, naomba kufahamishwa kama mechi hii ya kilele cha siku ya wananchi TFF wanahusika? Na kama wanahusika, uhusika wao ukoje?

Japo Manara kasema kaalikwa kama MC, binafsi naona ana hoja zaidi ya hiyo ya kujitetea iwapo TFF watataka kumchukulia hatua.

Sheria huwa zina mambo ya ajabu sana na msije kushangaa Manara anaibuka kidedea akitafuta haki yake katika vyombo vingine vya kimataifa vinavyosimamia maswla ya uendeshaji wa soka duniani.

Narudiia, Manara atakuwa amepata ushauri wa kutosha na pia viongozi wa Yanga watakuwa wameshirikishwa na kutoa baraka kwa Manara kuingia uwanjani na kufanya alichofanya.

Pia, uwepo wa Kinana pamoja na picha na mabango yenye sura ya Mama Samia, ni dalili mojawapo ya influence ya kisiasa kutumika kumlinda Manara iwapo TFF watataka kumchukulia hatua.
 
Kwanza nitaka wazi kuwa mimi ni shabiki wa Yanga kabla ya kuandika ninachotaka kukiandika hapa.

Tukirudi kwenye mada, TFF kama shirikisho la soka hapa nchini, ni wazi limeundwa kwa mujibu wa sheria na shughuli zake zinafahamika na bila shaka lina mipaka yake


Kwa misingi huo, si kila tukio linalohusu soka linasimamiwa na TFF mengine yako katika ngazi za vilabu na yanaishia katika ngazi za vilabu na wala hayahitaji idhini wala baraka za TFF.

Kwa msingi huu pia, naomba kufahamishwa kama mechi hii ya kilele cha siku ya wananchi TFF wanahusika? Na kama wanahusika, uhusika wao ukoje?


Japo Manara kasema kaalikwa kama MC, binafsi naona ana hoja zaidi ya hiyo ya kujitetea iwapo TFF watataka kumchukulia hatua.

Sheria huwa zina mambo ya ajabu sana na msije kushangaa Manara anaibuka kidedea akitafuta haki yake katika vyombo vingine vya kimataifa vinavyosimamia maswla ya uendeshaji wa soka duniani.

Narudiia, Manara atakuwa amepata ushauri wa kutosha na pia viongozi wa Yanga watakuwa wameshirikishwa na kutoa baraka kwa Manara kuingia uwanjani na kufanya alichofanya.

Pia, uwepo wa Kinana pamoja na picha na mabango yenye sura ya Mama Samia na dalili mojawapo ya influence ya kisiasa kutumika kumlinda Manara.
Hivi mkuu umesoma ulichokiandika?
 
Manara anaendelea kumjampisha Karia
 
Kaamua kudharau
Aliyefungiwa ni Manara kutojihusisha na mambo ya mpira.
Hata kuwa MC siku ya leo kajihusisha, sababu Yanga ni mwanachama wa TFF.

Hapo TFF wazipige zote faini, Yanga na Manara, Manara aongezewe kifungo kwa kudharau
 
Milioni kumi faini kwa Yanga na huyo kibwengo watakavyoona kama kuchuna ngozi ikauzwe.
 
Mimi nawauliza swali moja tu . je manara mlimpa nakala ya hukumu ?
 
Nawaza kilevi hapa, nasema hivi "kuwa MC sio shughuli ya mpira maana yake amekwenda kushehersha kabla ya shughuli ya mpira kuanza"
 
Manara amefungiwa kujihusisha na mpira, ni kweli, ila unapoendelea.."kwa msingi huo sio kila shughuli ya mpira inaihusisha TFF.." hapa ndipo kwenye kizungumkuti, ambapo jibu lake linakuja kupatikana kama ifuatavyo...

Nikichukulia mfano wa Shaffih Dauda, ambaye naye alifungiwa kujihusisha na mpira wa miguu, aliacha mpaka yale mashindano yake ya Ndondo Cup, naamini hata haya hayapo chini ya TFF, lakini aliyaacha.

Above all, hata kama huo mfano wa Shaffih Dauda hautakuwa unaeleweka, simply put; maneno "shughuli za mpira" ni mapana sana.

- hapa uwe mpira wa mashindano,

- bonanza kama hilo la Yanga SC, au

- mechi yoyote ya kirafiki, hizo zote kwangu ni "shughuli za mpira" ambazo Manara alishafungiwa.

Hivyo, kama Manara amedanganywa akadanganyika, ajiandae ku-face his consequences, otherwise, itabidi TFF waje na maelezo kuhusu hili ili tuyapime uzito wake.
 
Haya mambo yapo jamani tushishangae hapa bongo . Pengine manara amekata rufaa na adhabu yake inakuwa haifanyi kazi hadi rufaa isikilizwe. Kwa bongo tusishangae . tumeyaona hayo kwa spika wa bunge na wale wabunge 19. Spika amekataa kuwafukuza bungeni kisa kesi yao bado iko mahakamani .
 
BYUTI BYUTI.
Jamani yanga iliyotambulishwa Leo NI timu ya REDE ya akina Dada.
Sio timu ya mpira.
Tuwe waelewa katika Hilo.
Ndo maana kauli mbiu yao ni beauty beauty.
 
Kwanza nitamke wazi kuwa mimi ni shabiki wa Yanga kabla ya kuandika ninachotaka kukiandika hapa.

Tukirudi kwenye mada, TFF kama shirikisho la soka hapa nchini, ni wazi limeundwa kwa mujibu wa sheria na shughuli zake zinafahamika na bila shaka lina mipaka yake

Kwa misingi huo, si kila tukio linalohusu soka linasimamiwa na TFF mengine yako katika ngazi za vilabu na yanaishia katika ngazi za vilabu na wala hayahitaji idhini wala baraka za TFF.

Kwa msingi huu pia, naomba kufahamishwa kama mechi hii ya kilele cha siku ya wananchi TFF wanahusika? Na kama wanahusika, uhusika wao ukoje?

Japo Manara kasema kaalikwa kama MC, binafsi naona ana hoja zaidi ya hiyo ya kujitetea iwapo TFF watataka kumchukulia hatua.

Sheria huwa zina mambo ya ajabu sana na msije kushangaa Manara anaibuka kidedea akitafuta haki yake katika vyombo vingine vya kimataifa vinavyosimamia maswla ya uendeshaji wa soka duniani.

Narudiia, Manara atakuwa amepata ushauri wa kutosha na pia viongozi wa Yanga watakuwa wameshirikishwa na kutoa baraka kwa Manara kuingia uwanjani na kufanya alichofanya.

Pia, uwepo wa Kinana pamoja na picha na mabango yenye sura ya Mama Samia, ni dalili mojawapo ya influence ya kisiasa kutumika kumlinda Manara iwapo TFF watataka kumchukulia hatua.
Ulichoandika hapa weka kumbukumbu

Hizi hizi technic za kisheria huwa CCM wanazitumia na wanashinda mambo yao

Unakuja kutapika kila mara ooh tumeonewa mara wanatumia vyombo vya dola n.k

Nakuomba usiwe mwepesi kusahau mgumu kuelewa takukumbusha.
 
Manara amefungiwa kujihusisha na mpira, ni kweli, ila unapoendelea.."kwa msingi huo sio kila shughuli ya mpira inaihusisha TFF.." hapa ndipo kwenye kizungumkuti, ambapo jibu lake linakuja kupatikana kama ifuatavyo...

Nikichukulia mfano wa Shaffih Dauda, ambaye naye alifungiwa kujihusisha na mpira wa miguu, aliacha mpaka yale mashindano yake ya Ndondo Cup, naamini hata haya hayapo chini ya TFF, lakini aliyaacha.

Above all, hata kama huo mfano wa Shaffih Dauda hautakuwa unaeleweka, simply put; maneno "shughuli za mpira" ni mapana sana.

- hapa uwe mpira wa mashindano,

- bonanza kama hilo la Yanga SC, au

- mechi yoyote ya kirafiki, hizo zote kwangu ni "shughuli za mpira" ambazo Manara alishafungiwa.

Hivyo, kama Manara amedanganywa akadanganyika, ajiandae ku-face his consequences, otherwise, itabidi TFF waje na maelezo kuhusu hili ili tuyapime uzito wake.
Katika watu wenye akili timamu hapa JF wewe ni mmoja wapo

Nakufatilia sana hoja zako siku ukikosea takukosoa ila kwa mengne

Sina budi kusema unaupiga mwingi.
 
Back
Top Bottom