Engager
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 1,522
- 3,255
Ndugu zangu Watanzania tupo katika Ardhi ya madini. Bila shaka nitapata hapa ninacho kitafuta.
- Nimetokea kujuana na watu wenye pesa zao kutoka nje. Wanahitaji kuwekeza katika uchimbaji wa madini hasahasa Dhahabu.
-Kwenu nimekuja sasa. Natafuta mtu mwenye vitalu vyenye deposit ya madin (madini yoyote valuable) itapendeza zaidi ikiwa gold.
Vitalu viwe vimefanyiwa exploration ili kujiridhisha kama madini yaliyopo yanaweza kuwa mined economically. Kama unavyo tuwasiliane kwa email hii: investnow60@gmail.com, tuanze kazi.
Au kama kuna mtu unamfaham anavyo ila hakufanikiwa kuona Uzi huu mshirikishe.
Nawasilisha.
- Nimetokea kujuana na watu wenye pesa zao kutoka nje. Wanahitaji kuwekeza katika uchimbaji wa madini hasahasa Dhahabu.
-Kwenu nimekuja sasa. Natafuta mtu mwenye vitalu vyenye deposit ya madin (madini yoyote valuable) itapendeza zaidi ikiwa gold.
Vitalu viwe vimefanyiwa exploration ili kujiridhisha kama madini yaliyopo yanaweza kuwa mined economically. Kama unavyo tuwasiliane kwa email hii: investnow60@gmail.com, tuanze kazi.
Au kama kuna mtu unamfaham anavyo ila hakufanikiwa kuona Uzi huu mshirikishe.
Nawasilisha.