wastani kwa idadi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 503
- 1,432
2025 ndio uchaguzi rasmi wa kwanza kwa mama kugombea urais
2030 itakuwa ni awamu ya pili, Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote kwa Samia Suluhu Hassan kuwania tena nafasi katika uchaguzi wa 2030
Awamu ya sasa haihesabiki kwasababu ni jukumu lililomlazimu aliwajibikie kama makamu wa rais wa awamu iliyopita
Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote, Iwe kwa mvua iwe kwa jua, 2030 kuna mitano tena ya mama 😀😀
2030 itakuwa ni awamu ya pili, Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote kwa Samia Suluhu Hassan kuwania tena nafasi katika uchaguzi wa 2030
Awamu ya sasa haihesabiki kwasababu ni jukumu lililomlazimu aliwajibikie kama makamu wa rais wa awamu iliyopita
Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote, Iwe kwa mvua iwe kwa jua, 2030 kuna mitano tena ya mama 😀😀