Tupo na mama mpaka 2035, Kwa mara ya kwanza anaenda kugombea urais 2025, mara ya pili 2030, awamu ya sasa haihesabiki

Tupo na mama mpaka 2035, Kwa mara ya kwanza anaenda kugombea urais 2025, mara ya pili 2030, awamu ya sasa haihesabiki

2025 ndio uchaguzi rasmi wa kwanza kwa mama kugombea urais

2030 itakuwa ni awamu ya pili, Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote kwa Samia Suluhu Hassan kuwania tena nafasi katika uchaguzi wa 2030

Awamu ya sasa haihesabiki kwasababu ni jukumu lililomlazimu aliwajibikie kama makamu wa rais wa awamu iliyopita

Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote, Iwe kwa mvua iwe kwa jua, 2030 kuna mitano tena ya mama 😀😀
Kwenye nchi ipi?
 
2025 ndio uchaguzi rasmi wa kwanza kwa mama kugombea urais

2030 itakuwa ni awamu ya pili, Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote kwa Samia Suluhu Hassan kuwania tena nafasi katika uchaguzi wa 2030

Awamu ya sasa haihesabiki kwasababu ni jukumu lililomlazimu aliwajibikie kama makamu wa rais wa awamu iliyopita

Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote, Iwe kwa mvua iwe kwa jua, 2030 kuna mitano tena ya mama 😀😀
😀😀😀😀
 
2025 ndio uchaguzi rasmi wa kwanza kwa mama kugombea urais

2030 itakuwa ni awamu ya pili, Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote kwa Samia Suluhu Hassan kuwania tena nafasi katika uchaguzi wa 2030

Awamu ya sasa haihesabiki kwasababu ni jukumu lililomlazimu aliwajibikie kama makamu wa rais wa awamu iliyopita

Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote, Iwe kwa mvua iwe kwa jua, 2030 kuna mitano tena ya mama 😀😀
Si atakuwa kikongwe?
 
2025 ndio uchaguzi rasmi wa kwanza kwa mama kugombea urais

2030 itakuwa ni awamu ya pili, Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote kwa Samia Suluhu Hassan kuwania tena nafasi katika uchaguzi wa 2030

Awamu ya sasa haihesabiki kwasababu ni jukumu lililomlazimu aliwajibikie kama makamu wa rais wa awamu iliyopita

Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote, Iwe kwa mvua iwe kwa jua, 2030 kuna mitano tena ya mama 😀😀
Kwa katiba hii hii au ipi?

Unajua hata katiba ya Tanzania inasemaje?
 
2025 ndio uchaguzi rasmi wa kwanza kwa mama kugombea urais

2030 itakuwa ni awamu ya pili, Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote kwa Samia Suluhu Hassan kuwania tena nafasi katika uchaguzi wa 2030

Awamu ya sasa haihesabiki kwasababu ni jukumu lililomlazimu aliwajibikie kama makamu wa rais wa awamu iliyopita

Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote, Iwe kwa mvua iwe kwa jua, 2030 kuna mitano tena ya mama 😀😀

mmeshaanza kumchuria, wachawi hamkomi. mlianza hivyo hivyo kwa Jiwe mkamletea yaliyompata
 
2025 ndio uchaguzi rasmi wa kwanza kwa mama kugombea urais

2030 itakuwa ni awamu ya pili, Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote kwa Samia Suluhu Hassan kuwania tena nafasi katika uchaguzi wa 2030

Awamu ya sasa haihesabiki kwasababu ni jukumu lililomlazimu aliwajibikie kama makamu wa rais wa awamu iliyopita

Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote, Iwe kwa mvua iwe kwa jua, 2030 kuna mitano tena ya mama 😀😀

Kwa akili yake anaweza kushtukiza kwenye mkutano mkuu akimtumia mtu kama Kiishimba akauliza wangapi wanataka Samia awe Rais wa milele kama alivyofanya kwenye huu mchakato wa kugombea urais kupitia CCM na katiba ya. Chi akabadilisha.
 
Kwa yaliyotokea leo dodoma yanakuwa kipimo sahihi kujua kama tanganyika kuna watu au bado kuna maiti alizosema Mzee Kenyatta zama zile..
Kenyatta alisema wapi hayo ? Unaweza kunipa Quote Ad Verbatim ? Acheni utani kipindi hicho kuna wazalendo wewe kama kiongozi huwezi kutoa matusi ya rejareja (Hizi sampuli za Kina Trump na Chalamila ni zao la juzi juzi)

Back to the lecture at hand..., Wapuuzi sio wanaofanyiwa hivyo ni hao wanaofanya kwa kutokujua kula na vipofu.., hivyo wanazidi kujenga chuki na kuweka vizazi vyao hatarini as tunapoelekea hapatoshi (class gaps, have and have nots, bila kusahau chuki baina ya so called walamba asali na mafukara wa kitaa)
 
2025 ndio uchaguzi rasmi wa kwanza kwa mama kugombea urais

2030 itakuwa ni awamu ya pili, Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote kwa Samia Suluhu Hassan kuwania tena nafasi katika uchaguzi wa 2030

Awamu ya sasa haihesabiki kwasababu ni jukumu lililomlazimu aliwajibikie kama makamu wa rais wa awamu iliyopita

Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote, Iwe kwa mvua iwe kwa jua, 2030 kuna mitano tena ya mama 😀😀
Wewe ni mbuzi asiyejua kuwa Kuna kitu kinaitwa Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hiki ni kipindi chake cha mwisho kwani muda atakaongoza baada ya kifo cha Mwendazake ni zaidi ya miaka 3.
Ingekuwa chini ya hapo hiki kipindi kisingehesabika!
Soma Katiba usiwe na akili za uchawa chawa!
 
2025 ndio uchaguzi rasmi wa kwanza kwa mama kugombea urais

2030 itakuwa ni awamu ya pili, Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote kwa Samia Suluhu Hassan kuwania tena nafasi katika uchaguzi wa 2030

Awamu ya sasa haihesabiki kwasababu ni jukumu lililomlazimu aliwajibikie kama makamu wa rais wa awamu iliyopita

Wajumbe wa CCM kwa kauli moja hawana tatizo lolote, Iwe kwa mvua iwe kwa jua, 2030 kuna mitano tena ya mama 😀😀
Soma katiba acha kubuni mambo
 
Nikajiunge zangu jkt mapema japo am 35 nijiweke 2030 tutaingia mstuni
 
Back
Top Bottom