Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
10yrs ni muda mfupi???:confused2::confused2:
Mi nlitaka kumwambia labda mkewe ameshajua anajiita Tikiti Maji hapa JF.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
10yrs ni muda mfupi???:confused2::confused2:
:confused2::confused2::confused2:Hivi wanawake mnawasomesha wa nini?? Hilo lilikuwa jukumu la wazazi wake... akukuzidi ndio kama hivo... asilimia kubwa ya wanaume wanaosomesha na kuwaendeleza wake zao wanaishia hapa....
Endelea kusali sana, Mungu atakusaidia
ushauri wako si mzuri unadhani akimchunia si ndio utakuta ameshajenga majumba na yeye kugeuzwa Bushoke ni bora amweleze mapema kabla hayajafika huko maana kuna watu wanamjaza ujinga mke wake na akiendelea atamjengea mkewe kiburi na baadae kudharaulika sana ni bora alianzishe mapema tu ili kama kuachana waachane mapema au kama kujirekebisha ajirekebishe sasa sio unaacha mpaka baadae kiburi kinakomaa baada ya kuwa na mali nyingi ambazo yeye hawezi kuzipatapole sana ndugu yangu, ndoa yako imegeuka ndoano, nashindwa kukushauri maana nimepata
maelezo ya upande mmoja tu, ningepata na upande wa pili ingekuwa safi sana......
wanawake ndugu yangu siku zote akishaona anaweza siamama mwenyewe huwa ni changamoto
kubwa kwenye ndoa, wachache sana wanaotambua mume ndo kichwa cha familia......
nakushauri uvumilie tu, ndo msaraba wako huo, nawe endelea na mambo yako kimya kimya
kama vile humuoni, usijihusishe wala kumuuliza mambo yake, naamini itamuuma sana, hata
ushauri usimpe, atarudi mwenyewe...
Hivi wanawake mnawasomesha wa nini?? Hilo lilikuwa jukumu la wazazi wake... akukuzidi ndio kama hivo... asilimia kubwa ya wanaume wanaosomesha na kuwaendeleza wake zao wanaishia hapa....
Endelea kusali sana, Mungu atakusaidia
I am missing you! Uko kwenye Mfungo?