PSEUDOPODIA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 392
- 798
Kwa sasa tumetulia tu tunamwangalia kocha anavyojikanyaga, ila Tukishindwa kufuzu Afcon ndo tutatoka sasa kusema " Tulijua tu".
Yaan kocha aombe tufuzu, ila tukishindwa Analo
Yaan kocha aombe tufuzu, ila tukishindwa Analo