tony92
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,398
- 3,691
Najua hiyo taarifa ulikua huna ndo umeijulia hapo nilipoandikaUtakua punguani,maana umedandia gari wakati linamwendo mkali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua hiyo taarifa ulikua huna ndo umeijulia hapo nilipoandikaUtakua punguani,maana umedandia gari wakati linamwendo mkali
Ungekuwa umefuatilia tulikotoka na huo mjadala usingedandia kwa mbele,ndiyo maana umegongwaNajua hiyo taarifa ulikua huna ndo umeijulia hapo nilipoandika
Taarifa ya Morisson kucheza south ni mpya kwako Poole sana mkuuUngekuwa umefuatilia tulikotoka na huo mjadala usingedandia kwa mbele,ndiyo maana umegongwa
We unavuta ugoro nn,fuatilia kwanza mjadala ulikuwaje toka mwanzo hadi ukakutana na comment yangu,acha kudandia dandia hojaTaarifa ya Morisson kucheza south ni mpya kwako Poole sana mkuu
Anajua...anaambiwausiwe na wasiwasi coz hajui kuwa anasifiwa namna hii
Sasa mbona huyo tripple C hajawahi kuwa gumzo namna hii?Hana lolote, nyie gongowazi hamjielewi tu, mtu anajipiga chenga mwenyew alafu mnashangilia nin sasa?
Nyie mngekua na triple c mwamba wa lusaka tusingelala
Yaani kukanyaga mpira ukiwa ujakabwa nao ni ufundi kwel?? Mtaani wana kibao wanafanya vike
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu huhukumiwa kwa vitendo vyake, si kwa uwezo wake; huhukumiwa kwa anachokitenda, si kwa anachodhaniwa atatenda.Kukanyaga mpira huku hujakabwa eti ni ufundi, wachezaji wote walioko mtaani mpaka ligi kuu wanaweza kufanya vile.
Sawa shabiki maandazi ni morrison tu anaweza.mwenzako mjingamjinga kama wewe huku mtaani kavunja meno ya mbele kwa kujaribu kuiga