Mkuu,
Ndiyo maana nimetoa angalizo la ukabila na ukanda. Supreme Court Kenya imefanya maamuzi ya kihistoria kukazia sheria , kanuni, taratibu na katiba zifuatwe ili chaguzi zikubalike uhalali wake
Wa-Kenya kazi nzuri ya kukomaza uchaguzi huru na Wa haki hautatimia kama matatizo sugu tajwa hapo juu ukanda / ukabila hayatapunguzwa makali.
Pia Tanzania kuna harufu za ukanda na udini kadhalika na katiba bila kusahau sheria kudharauliwa na CCM.
Kenyata hajaonyesha kukubali kwani kauli yake ya kusema watu sita au saba hawawezi kushindana na maamuzi ya wakenya milioni 40
Kasahau aliposema atakubaliana na maamuzi ya mahakama
Leo awaita wstub6 au 7
Hii ndio africa kauli na vitendobni tofauti kabisa