Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
helo guys how r u?
natumaini wote nyi mko vyema kabisa....kwa wale mliokwisha oa aina shaka hapa ni kwa kuwakumbusha wale wanaotarajia kuoa jamani ndoa nyingi za sasa zimekuwa azidumu,azikai,zinakatisha tamaa kabisa
labda wengi wanafunga ndoa kwa sababu tofauti na kujikuta aliekuwa nae si wake baada ya ndoa....
ni wakati wako wewe unaetarajia kuoa keshokutwa muda bado unao..usioe just kama unavaa sare za ndoa...oa mke.mume uliepewa na MUNGU mkiwa na sababu muhimu.....
si wakati wa kufnga ndoa just john kao jana ,andrew anaoa jumapili,sheila mwezi wakumi mmh na mimi lazima mwezi wa kumina mbili..labda niwachekeshe huku tankibovu kuna jiran zangu weote vijana mmoja akaoa,tuna mazoea ya kukaa pamoja kupeana story....za maisha..jamaa alipooa he akaja akaniambia unajua nini br nami wacha mwezi ujao nikapeleke mahari na kumvisha pete mchumba wangu..uwezi amini yule mtotot wa kichaga akaenda kuvishwa pete hiyo ilikuwa mwezi january,,,jamaa ukimtajia ndoa lini tena kaka anakwambia polepole,,,heri huyu alietaka kukimbilia haraka akashtuka..so usiogope kile ni kifungo ch maisha br n sis,ukiona hali ngumu hata ijumaa tandika daluga waachie ujumbe jamani kutokana na sababu hii na ile sitoweza kufunga ndoA,...mungu atakuheshimu zaidi kwanza kwa kujilinda na kumlinda yule bint ambae akuwa wako
Nakumbushia tuache kuvaa sare za ndoa..usioe just natakiwa kuoa umri umeenda,ama naina ameolewa lazima ntafute namiwangu weeee utakutana na kima mbaya nae atakwambia nilikuwa natafuta wa kufanananami nahisi ni wewe ukiingia ndani penalt unacheza mwenye..unashangilia mwenyewe nakama unafungwa unalia mwenyewe uko ndani sie atupo tena
natumaini wote nyi mko vyema kabisa....kwa wale mliokwisha oa aina shaka hapa ni kwa kuwakumbusha wale wanaotarajia kuoa jamani ndoa nyingi za sasa zimekuwa azidumu,azikai,zinakatisha tamaa kabisa
labda wengi wanafunga ndoa kwa sababu tofauti na kujikuta aliekuwa nae si wake baada ya ndoa....
ni wakati wako wewe unaetarajia kuoa keshokutwa muda bado unao..usioe just kama unavaa sare za ndoa...oa mke.mume uliepewa na MUNGU mkiwa na sababu muhimu.....
si wakati wa kufnga ndoa just john kao jana ,andrew anaoa jumapili,sheila mwezi wakumi mmh na mimi lazima mwezi wa kumina mbili..labda niwachekeshe huku tankibovu kuna jiran zangu weote vijana mmoja akaoa,tuna mazoea ya kukaa pamoja kupeana story....za maisha..jamaa alipooa he akaja akaniambia unajua nini br nami wacha mwezi ujao nikapeleke mahari na kumvisha pete mchumba wangu..uwezi amini yule mtotot wa kichaga akaenda kuvishwa pete hiyo ilikuwa mwezi january,,,jamaa ukimtajia ndoa lini tena kaka anakwambia polepole,,,heri huyu alietaka kukimbilia haraka akashtuka..so usiogope kile ni kifungo ch maisha br n sis,ukiona hali ngumu hata ijumaa tandika daluga waachie ujumbe jamani kutokana na sababu hii na ile sitoweza kufunga ndoA,...mungu atakuheshimu zaidi kwanza kwa kujilinda na kumlinda yule bint ambae akuwa wako
Nakumbushia tuache kuvaa sare za ndoa..usioe just natakiwa kuoa umri umeenda,ama naina ameolewa lazima ntafute namiwangu weeee utakutana na kima mbaya nae atakwambia nilikuwa natafuta wa kufanananami nahisi ni wewe ukiingia ndani penalt unacheza mwenye..unashangilia mwenyewe nakama unafungwa unalia mwenyewe uko ndani sie atupo tena