#COVID19 Tupuuze uzushi wa Mitandaoni, Tanzania hatuna Corona - Prof. Mchembe

Ingekuwa imekuuwa usingeandika huo utumbo hapa. Watu tumefiwa na ndugu zetu na makaburi yapo halafu unaleta dhihaka hapa.

Unasema ikowapi corona sasa hivi utadhani huelewi maana ya magonjwa ya maginjwa ya mlipuko (pandemic diseases). Wimbi la corona limetembea mwishoni mwa 2020 hadi mwanzoni mwa 2022.
 
Ingekuwa imekuuwa usingeandika huo utumbo hapa. Watu tumefiwa na ndugu zetu na makaburi yapo halafu unaleta dhihaka hapa.
Utumbo unaujuwa wewe? Corona ulikuwa ni ugonjwa wa mafua tuu, uliokuzwa. Watu waliokufa walikuwa na matatizo mengine, kama unene, kisukari n.k. Mimi nimeugua zote Delta na Omnicron, ni kahoma kadogo tuu, ka masaa matano tuu, basi.

Corona ililetwa kwaajili ya chanjo, na siyo kinyume chake. Mazuzu yakaamini vitisho vya corona ili yawe manguruwe ya majiribio ya chanjo, yapewe gene therapy material. Sasa hivi wanaugulia kimya kimya matatizo ya moyo, kama myocarditis.

Hivi unajuwa kuwa death rate kwa nchi zilizochanja sana imeongezeka au bado umebaki na uzuzu wako wa kukubali kila unachoambiwa?
 
Asante kwa taarifa. Ila nilisikia mahali watu walimuulizia huyu Prof. Kwa hii taarifa nimefurahi kujua kwamba yupo.
 
Unasema ikowapi corona sasa hivi utadhani huelewi maana ya magonjwa ya maginjwa ya mlipuko (pandemic diseases). Wimbi la corona limetembea mwishoni mwa 2020 hadi mwanzoni mwa 2022.
Corona ilipotea ghafla baada ya Russia kuingia Ukraine (2022), sasa ugonjwa gani unaisha ghafla kama siyo usanii?
 
Kwangu Prof na Hayati ni mashujaa kwa nchi yetu kwa jinsi walivyopambana na ugonjwa huu
Sasa kama umepambana na ugonjwa ukakuuwa hapo nani ni shujaa? Nadhani tuwe na nidhamu ya kusikiliza ushauri wa madaktari. Wewe ni engineer waachia madaktari kazi yao.
 
Sasa kama umepambana na ugonjwa ukakuuwa hapo nani ni shujaa? Nadhani tuwe na nidhamu ya kusikiliza ushauri wa madaktari. Wewe ni engineer waachia madaktari kazi yao.
Ugonjwa wa mafua uliokuzwa na media umemuua nani?
 
Hahahaa jamani watu
 
Wacha porojo hizo za ma antivaxxers, siyo mpya. Ringia kutochanja na uko hai. Nami naringia kuchanja na niko hai
 
Utawala wa awamu ya 5 ulikuwa kama umelaanika. Tunamshukuru Mungu kwa kilichotokea Machi 17, 2021.
 
Wacha porojo hizo za ma antivaxxers, siyo mpya. Ringia kutochanja na uko hai. Nami naringia kuchanja na niko hai
Nenda kapime D-dime levels wewe (kujua kama una micro clots), acha ushamba. Na omba uwe ulipata placebo, otherwise you're umekwisha.
 
Huyo prof alifanya makosa Sana kuongea uongo.

Usipokuwa honest unasababisha vifo ambavyo sio vya lazima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…