#COVID19 Tupuuze uzushi wa Mitandaoni, Tanzania hatuna Corona - Prof. Mchembe

#COVID19 Tupuuze uzushi wa Mitandaoni, Tanzania hatuna Corona - Prof. Mchembe

Kuna wapuuzi kama maria sarungi,hilda newton na fatuma karume kutwa kuwapa watu taharuki ningependa wangekua wachina saa hii wangeshanyongwa!
 
Hivi tz wakifa hata watu 100 kwa covid kila siku watu tutashindwa kujua kweli?

Shughuli za mazishi huko makaburini zimeongezeka kwa kiwango gani? Makaburi mapya yanaongezeka mangapi kila siku kwenye eneo lenu?

Corona ipo lakini si kiwango tunachotka kuaminishana.
watu 100 ni kidogo sana. wanaweza kufa sehem tofauti na lusiwe na coverage.
japo siombei.. ila hao bado sana
 
Mhe. Jafo hakusema kuna ugonjwa wa Corona, hata Waziri wa Afya Mhe. Gwajima hakusema kuna ugonjwa, hata NW wa Afya Mhe. Mollel alisema kujufukiza ipo toka yeye ni mdogo! Wewe kama unaitaka basi Mungu akutandike na uzao na Wazazi wako maana kimtokacho mtu kimeujaza moyo wake.

Eee! Mungu sikia kilio cha Watanzania. Wale wanaosema Corona hakuna na wamekuamini wewe upaaponye. Na wale wasemao ipo achilia mapepo yawatandike ili wajue wewe ni Mungu na hudhihakiwi
idiot. imeandika as Mungu anasikiliza maombi ya watz tu.
kana kwamba nchi zingine haziombi.
serikali msimamo wake ni watu wachukue tahadhari. hakuna anae ombea ifike
but kunikinga lazima.
 
watu 100 ni kidogo sana. wanaweza kufa sehem tofauti na lusiwe na coverage.
japo siombei.. ila hao bado sana
Sasa corona haiko hivyo ndugu! Ile ikijikita sehemu inakula kama nzige!

Hapa dar ndio ingekuwa mfano wa hao watu 100 lakini hatuoni.
 
Professor haongei kama kasuku.
Anaongea kwa ushahidi tena wa utafiti uso na chamber ya mashaka.
Wametumwa wangapi? Wangapi wapo salama na tupo wangapi kama nchi?
Wangapi wamekufa as nw
huo utafiti kafanyia wapi? methods na publication results ziko wapi?
 
Sasa corona haiko hivyo ndugu! Ile ikijikita sehemu inakula kama nzige!

Hapa dar ndio ingekuwa mfano wa hao watu 100 lakini hatuoni.
not necessary sehem moja. depends imesambaa hadi wapi. si wote watadondoka sehem moja kwa wkt mmoja.
 
Mtaani kwenu wamakufa wangapi unao wajua kwa Corona?

Kuna vitu munashupalia sijui hata munapata faida gani!
not necessary sehem moja. depends imesambaa hadi wapi. si wote watadondoka sehem moja kwa wkt mmoja.
 
Huyo prof nilimuona Jana kwenye taarifa ya habar, wahudumu karibu wote wa hospitali walikuwa wamevaa barakoa kwakuwa wanashinda na wagonjwa masaa 24 kwahiyo wanajua mgonjwa fulani ana shida gan ila yeye prof anayeishinda ofisini kwenye viyoyozi huko wizarani ndio alikuwa hajavaa barakoa,


Yaani awamu hii huwez kutofautisha kati ya msomi na aliyeishia darasa la nne
 
uchumi wa kati + corona = politic..............tusiumizane akili.... kuna kitu kinatengenezwa hapa.............na tutakufa kwei kwei.....
 
Mtaani kwenu wamakufa wangapi unao wajua kwa Corona?

Kuna vitu munashupalia sijui hata munapata faida gani!
Siyo mtaani. Ndugu zangu 3, wamepoteza maisha kwa hii kadhia.

Shinyanga nawafahamu 3 walioondoka kwa corona. Kahama 1. Hawa ni wale nilikaribu nao, na ninaowafahamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeyote anayekuambia hakuna COVID19 Tz anakudanganya.
KCMC hospitali isolation ward imejaa na tayari wamebadili majengo mengine kuanza kutumika kama isolation ward.
Mgonjwa akifika na dalili za COVID19 madaktari wanaanza kuongea lugha ya malkia na kupeana maelekezo kwa codes za kitabibu.
Hali ni tete sana, na so far kuna kiongozi mmoja mkubwa tuu wa mamlaka ya mapato amelazwa isolation ward.


Chukua tahadhari ujilinde ww na wale uwapendao.
Afya ni bora kuliko tiba.
Mask on
Vp kuhusu idadi ya vifo vinavyotokana na changamoto ya upumuaji huko!?
 
Mtu mmoja kavuruga vichwa vya wataalamu wote nchini,wote wanasema uongo mpaka kwenye kucha zao sababu ya huyu mtu mmoja

Kwenye hii nchi kwenye medani za siasa,walioko sober na hawadanganyiki na hili limtu ni opposition ya Chadema pekee yake

Bila Chadema nchi hii ungekuta watu wanapewa uji asubuhi mchana na jioni kama mbwa na hakuna wa kuuliza
Kuharibu huhitaji watu wengi. Mmoja tu anatosha. Ila kujenga unahitaji watu wengi wenye common objective.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zamani nilipokua chalii niliamini maprof ni watu wenye uelewa mkubwa sana na wapo straight kila siku zinavyoenda naona bora hata wale wasiopata Elimu wana uelewa na ufahamu mkubwa kuliko hao.
Maprofesa wa Tanzania, wengi wao ni hopeless. Ni wanafiki wakubwa. Na wengine hata ukijariliana nao unajua ni low IQ lakini kwa vioe kakaa miaka mingi darasani, anaitwa Professor. Machapisho yao mengi ni nukuu za watu wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom