Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe acha kutupigia kelele hapa sisi!Kiukweli wewe ni mburura. Yawezekana wewe ndiyo MAGUFULI
Tuchukue tahadhari hata kama umeambiwa haipoSio mzaha mwishimiwa.
Hapa ndio unajua tofauti ya pro-pesa , pro-litics na professor.
Haya tumemsikia
Ndio ni akili zangu, wewe ukiwa period usibishane na Mimi maana hio TANGAZO wala sikuandika mimi, sasa hizo genye umezitoa wapi?Kwa akili zako Maalim Sefu angekuwa na Corona angeshika watu mikono na hana musk? Zakuambiwa changanya na zako
Prof wa Chato anasema ndugu yako atakuwa amepata ajali au ana mafua maana eti dalili za magonjwa hayo zinafanana na zile za magonjwa ya kushindwa kupumua kama ya wale aliowaona wamelazwa Muhimbili na Mloganzila. Huyo naye ana PhD!Ndugu yangu yupo anapumulia machine huko Seriani hospital ARUSHA kisa kushindwa kupumua.
Hako ka nchi ka hovyo sana kuwahi kutokea.
Kati ya nilivyochangia hapa masaa manne yaliyopita, na sasa, nimeshapata taarifa za msiba mwingine wa mtu wangu wa karibu.Tunaendelea kuweka rekodi sahihi kuhusiana na kila kitu na ugonjwa huu.
Siku ya siku atawajibishwa yeye na vibaraka wake wote.
Habari ndiyo hiyo.
Kati ya nilivyochangia hapa masaa manne yaliyopita, na sasa, nimeshapata taarifq za msiba mwingine wa mtu wangu wa karibu.
Tena kijana tu, wala si mzee.
Wakati Katibu Mkuu Wizara ya Afya anasema tupuuze uzushi Tanzania hakuna Codona, Waziri wa Fedha kawaambia watumishi wajihadhari na Corona.Bwana yule na vibaraka wake wanaendelea kuwa na mioyo migumu. Vifo hivi wao haviwahusu kwa sababu wana medical facilities ambazo kwetu ni off limit.
Ikumbukwe ugonjwa ni hatari zaidi hasa health services zinapokuwa overwhelmed na wagonjwa wengi.
Itawahusu vipi wale ambao hawawezi kuwa subjected kwenye upungufu wa hizi medical facilities?
Nina uhakika Bibi yako amemzidi utu.Hivi uprofesa wa Tanzania unatolewa na nani? Sasa huyu ana tofauti gani na bibi yangu aliyemaliza la 8 la zamani?
Wakati Katibu Mkuu Wizara ya Afya anasema tupuuze uzushi Tanzania hakuna Codona, Waziri wa Fedha kawaambia watumishi wajihadhari na Corona.
Serikali moja hiyo hiyo hata kwenye ujumbe tu inapishana.