#COVID19 Tupuuze uzushi wa Mitandaoni, Tanzania hatuna Corona - Prof. Mchembe

#COVID19 Tupuuze uzushi wa Mitandaoni, Tanzania hatuna Corona - Prof. Mchembe

Katibu Mkuu Mchembe ni mwongo, yeye kapita kwenye ofisi ya Mkurugenzi Mkuu, wanapeana ripoti za uwongo akaondoka.

Hana ujasiri wa kuingia wodini na kukutana na wagonjwa wa COVID19. Yeye mwenyewe anaujua moto wa Corona kuwa haukopeshi.
 
Hii ya kuvaa mask [emoji40] ni dr wa meno ndio tunaona sana wanavaa
Sasa hapo ndio kanichanganya kabisaaaa
IMG_0411.jpg
 
Na USA wasemeje?

Hao UN wataingilia mataifa mangapi?

Leo Germany wamerekodi vifo 900+ alafu wewe mbugila una zurura kila siku hapo kariakoo unaimba tz kuna corona?
Sisi hatuna rekodi kwakua hakuna anaepimwa.
 
Hivi hawa wanasiasa waandamizi wao tu ndio wenye akili? Kumbe ni kinyume chake
 
Yani kuna watu wanachanganyikiwa sana wakisikia corona haipo au ipo. Mzee alishasema la maana chukua tahadhari iwepo au isiwepo.
 
Sisi hatuna rekodi kwakua hakuna anaepimwa.
Hivi tz wakifa hata watu 100 kwa covid kila siku watu tutashindwa kujua kweli?

Shughuli za mazishi huko makaburini zimeongezeka kwa kiwango gani? Makaburi mapya yanaongezeka mangapi kila siku kwenye eneo lenu?

Corona ipo lakini si kiwango tunachotka kuaminishana.
 
Back
Top Bottom