Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Mnaumwa? Wewe na nani?waseme basi huu ugonjwa tunaumwa sshv ni nini??!!maana ukiskia vichomi na mwili kuuma tunakuimbia mapambio sasa hivi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaumwa? Wewe na nani?waseme basi huu ugonjwa tunaumwa sshv ni nini??!!maana ukiskia vichomi na mwili kuuma tunakuimbia mapambio sasa hivi...
Mhe. Jafo hakusema kuna ugonjwa wa Corona, hata Waziri wa Afya Mhe. Gwajima hakusema kuna ugonjwa, hata NW wa Afya Mhe. Mollel alisema kujufukiza ipo toka yeye ni mdogo! Wewe kama unaitaka basi Mungu akutandike na uzao na Wazazi wako maana kimtokacho mtu kimeujaza moyo wake.Amuulize Jaffo kwa nini alitutanganzia wiki ya nyungu na leo ni siku ya pili.
Watu wamekuwa waongo kisa mtu mmoja tu...
Le progeseee" commed ile"Hapa ndio unajua tofauti ya pro-pesa , pro-litics na professor.
Haya tumemsikia
Kwa akili zako Maalim Sefu angekuwa na Corona angeshika watu mikono na hana musk? Zakuambiwa changanya na zakoKwahio Maalim Seif na ACT Wazalendo wameudanganya ummma?
Wewe unayo?Yeye Mchembe kasema haipo, ndio issue
Hahaha we mjinga haswa?Na USA wasemeje?
Hao UN wataingilia mataifa mangapi?
Leo Germany wamerekodi vifo 900+ alafu wewe mbugila una zurura kila siku hapo kariakoo unaimba tz kuna corona?
Basi hiyo corona unayo wewe! Jifungie ndani sasa acha kupigia watu keleleHahaha we mjinga haswa????
Jamaa unasikitisha sana. Ama kwa kutokujua, ama kwa kukomalia misimamo ya kisiasa.Basi hiyo corona unayo wewe! Jifungie ndani sasa acha kupigia watu kelele
Kiukweli wewe ni mburura. Yawezekana wewe ndiyo MAGUFULIBasi hiyo corona unayo wewe! Jifungie ndani sasa acha kupigia watu kelele
Watendaji wa jiwe wasitumie nguvu Sana kukanusha uwepo wa korona. Cha msingi waendelee kusisitiza kwamba watu wachukue tahadhari na maisha yaendelee.