#COVID19 Tupuuze uzushi wa Mitandaoni, Tanzania hatuna Corona - Prof. Mchembe

#COVID19 Tupuuze uzushi wa Mitandaoni, Tanzania hatuna Corona - Prof. Mchembe

Amuulize Jaffo kwa nini alitutanganzia wiki ya nyungu na leo ni siku ya pili.

Watu wamekuwa waongo kisa mtu mmoja tu...
Mhe. Jafo hakusema kuna ugonjwa wa Corona, hata Waziri wa Afya Mhe. Gwajima hakusema kuna ugonjwa, hata NW wa Afya Mhe. Mollel alisema kujufukiza ipo toka yeye ni mdogo! Wewe kama unaitaka basi Mungu akutandike na uzao na Wazazi wako maana kimtokacho mtu kimeujaza moyo wake.

Eee! Mungu sikia kilio cha Watanzania. Wale wanaosema Corona hakuna na wamekuamini wewe upaaponye. Na wale wasemao ipo achilia mapepo yawatandike ili wajue wewe ni Mungu na hudhihakiwi
 
Sawa lakini kwa hali niliyonayo na familia yangu sikubaluane na huyu Mchembe
 
Professor haongei kama kasuku.

Anaongea kwa ushahidi tena wa utafiti uso na chamber ya mashaka.

Wametumwa wangapi? Wangapi wapo salama na tupo wangapi kama nchi?

Wangapi wamekufa as nw
 
Ndugu yangu yupo anapumulia machine huko Seriani hospital ARUSHA kisa kushindwa kupumua.

Hako ka nchi ka hovyo sana kuwahi kutokea.
 
Na USA wasemeje?

Hao UN wataingilia mataifa mangapi?

Leo Germany wamerekodi vifo 900+ alafu wewe mbugila una zurura kila siku hapo kariakoo unaimba tz kuna corona?
Hahaha we mjinga haswa?
 
Hawa viongozi watoe Personal protective equipment . Vifaa vya kujikinga kwa wauguzi wetu. Kwenye group yetu ya Tambaza tumepoteza madaktari 3 chini ya mwezi mmoja kwa homa kali ya mapafu aka corona
 
Hivi unaweza kujua hakuna kitu bila kupima ? Basi tunashukuru kwamba hatuna ila hilo la pneumonia kali katoa ushauri gani ili nalo tuliepuke ?, na wanafanya jitihada zipi ili sisi ambao hatuna tusije kupata sababu tumezungukwa na nchi ambazo wanao..., Na hao wananchi anaowaasa wapuuze..., wapuuze huku wanafuata tahadhari au business as usual ?
 
Mwacheni profesa aongee anachoongea hizo nafasi zinapatikana kwa mbinde mnataka njia ya chooni kwake iotee majani?
 
Sasa mbona mactory walikua wamevaa barakoa anatufa wajinga ety
 
Watendaji wa jiwe wasitumie nguvu Sana kukanusha uwepo wa korona. Cha msingi waendelee kusisitiza kwamba watu wachukue tahadhari na maisha yaendelee.

Rudia kusoma maneno ya prof.

Kila mtu Ni mgonjwa mtarajiwa...

Zakuambiwa changanya na zako.
 
Back
Top Bottom