Turkey, China caught up in SGR tender confusion

Turkey, China caught up in SGR tender confusion

Wakenya si mkubali tuu hamkucheza kamali yenu ya SGR nzuri. Mchina kaweka hesabu mezani, wazee wakasema "eh, hiyo tosha...!!!" wakakunja kilicho chao, wakasepa. Hakuna tenda wala nini, ni deli tuu mwanzo mwisho.

Wazee walisema ukimfuata ndovu utachana msamba, skliza wimbo wa Darasa, mwache huo mzuka wa kuruka reggae kwenye blues. Huu mchezo hautaki ukurupukaji.
 
Wazee walisema ukimfuata ndovu utachana msamba, skliza wimbo wa Darasa, mwache huo mzuka wa kuruka reggae kwenye blues. Huu mchezo hautaki ukurupukaji.

Hahahaha na nyinyi ....sio simba, sio chui, sio mamba .... Eheeee
tuna wachambuwa kama Karanga .... Uwiiiiii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
wakati mko kwenye shengesha na longolongo zenu,kenya tumo mbioni phase 1 tayari iko na ulimbwende mkubwa kabisa,phase two tunaititimua kwelikweli.
The scaffolding on the Mombasa West Station tower has come down. It appears they're applying the final touches to the facade.

16174478_10211766978590660_8368869949546957013_n.jpg

Mombasa West Station
M261VXn.jpg


Source




__________________
"If you don’t build your dream, Someone will hire you to help build theirs"
 
Hongereni Wakenya ,sisi bado tunaendelea kubana matumizi na kutumbua majipu, yakipona tunayarudisha.
 
Wazee walisema ukimfuata ndovu utachana msamba, skliza wimbo wa Darasa, mwache huo mzuka wa kuruka reggae kwenye blues. Huu mchezo hautaki ukurupukaji.
Darassa [emoji817][emoji817][emoji817]
 
And I don't know why magufuli cancell it while the firm was already under construction now I get why our former president say that ""to be good leader is continuing doing good thing that your were left with and not to crush every good things"" magu should leave it's and let construction going on.....
Why all this hustle while you have a well admired mother tongue!?
 
Wabongo mwafurahisha kweli. Kila siku humu mwatupigia kelele vile nyinyi ma Wachina ni mandugu. Mturuki akija siku moja mshamtoka mchina wenu. Kikwetu huwa twasema msichana asiye na mazoea ya kutongozwa atatongozwa na sokwe akubali.
 
Wazee walisema ukimfuata ndovu utachana msamba, skliza wimbo wa Darasa, mwache huo mzuka wa kuruka reggae kwenye blues. Huu mchezo hautaki ukurupukaji.
hicho kiswahili kimenipita
 
he! hii sio mchezo ..."The Tanzania-Zambia Railway (Tazara) which was built in 1975 is yet to return a profit.". tulilaaniwa kabisa waafrica, management zero, maintanance naught, engineering knowledge zero, economy nunge, progress nada! lessons learnt from past mistakes zilch!
 
Back
Top Bottom