Turudi Eden.

Kama hiyo ndo ilikuwa dinner yao kumbe tusiwasengenye nakuwasema vibaya kwanini walikula tunda!, maana kwa mlo huo kula tunda ilikuwa ni un kwepabo!..😅
 
Ni kitu gani hicho mkuu, hebu tuwekee recipe.

Uko sahihi, ila ninachojua kula kiafya sio lazima ujitese, kuna mapishi matamu ambayo ni ya kiafya,

Na sio kila kitu kitamu ni kibaya kwa afya.
 
Kama hiyo ndo ilikuwa dinner yao kumbe tusiwasengenye nakuwasema vibaya kwanini walikula tunda!, maana kwa mlo huo kula tunda ilikuwa ni un kwepabo!..😅
Acha tamaa Mkuu😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…