kwa mwendo huu house girl akikuzidi speed utamlilia nani?
Leo hapa jamvini nimeona eti house girl anafua hadi nguo za mama mwenye nyumba, jamani ni wapi twazipeleka ndoa zetu?
Ukweli ni kwamba kiwango cha uwepo wa nyumba ndogo siku hizi kimeongezeka...
<br />Tuko kimeongezeka kwa kuwa wanawake wamekuwa mno waigaji hawako real wanaolewa hawajui kupika wala kufua wala kumcare mume yaani wapo wapo tuu. Kila kitu kinafanywa na house gal mpaka kutandika kitanda cha master bed room na kufua boxer ni house gal, maji ya kuoga anaweka house gal, chakula anakutengea house gal wakati mke kakaa anatizama kideo, baa mnakuwa wote na wife wewe ukiagiza konyagi yeye anaagiza valuer <br />
Sasa ukipata nyumba ndogo inayojua kucare unasahaui hata kwenu
Ndoa za siku hizi hazidumu, kina dada wengi hawajui mapishi, hawawezi kujisafisha na kuweka nyumba zao katika hali ya usafi.
Hawajui mahitaji ya waume zao, hawajui kuwatunza wala kuwaridhisha.
Kazi kwelikweli.
Eti sababu yao ni kwamba wamesoma, mambo ya ndani ya nyumba ni kazi na wajibu wa housegirl.
Mafunzo ya unyumba wanayapata kwa ufupi tu kwenye kitchen party.
Je nini kifanyike?
<br />Ukweli ni kwamba kiwango cha uwepo wa nyumba ndogo siku hizi kimeongezeka...
<br />KWELI wanawake wa cku hizi wako <font color="#000080">ovyo ovyo</font> tu.