Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,730
- 9,088
Ndoa za siku hizi hazidumu, kina dada wengi hawajui mapishi, hawawezi kujisafisha na kuweka nyumba zao katika hali ya usafi.
Hawajui mahitaji ya waume zao, hawajui kuwatunza wala kuwaridhisha.
Kazi kwelikweli.
Eti sababu yao ni kwamba wamesoma, mambo ya ndani ya nyumba ni kazi na wajibu wa housegirl.
Mafunzo ya unyumba wanayapata kwa ufupi tu kwenye kitchen party.
Je nini kifanyike?
Hawajui mahitaji ya waume zao, hawajui kuwatunza wala kuwaridhisha.
Kazi kwelikweli.
Eti sababu yao ni kwamba wamesoma, mambo ya ndani ya nyumba ni kazi na wajibu wa housegirl.
Mafunzo ya unyumba wanayapata kwa ufupi tu kwenye kitchen party.
Je nini kifanyike?