Turudi nyuma kidogo, taja somo ambalo ulikuwa hulipendi ukiwa shuleni

Turudi nyuma kidogo, taja somo ambalo ulikuwa hulipendi ukiwa shuleni

kiswahil form 3....pale kwenye uchambuz wa mashair mara njiwa kiumbe mtini....eti nikariri mashair. nikagoma nikachimba kisiki coz madam alnzngua...... mwsho wa cku nkapata D .......High school nkapga PCM,maisha yakaendelea
 
Basic mathematics,na hili nimelichukia kwasababu ya kukosa walimu wazuri from STD7 mpka form 4,
 
Primary - English, Hesabu, Maarifa ya jamii.
O level - Kiswahili, Hesabu, Physics(niliacha nilipofika form 3), Chemistry(niliacha ila mwalimu wa somo akanilazimisha nisome, nikamuheshimu), history.
A level - History zote I na II,
Chuo - masomo yote yenye hesabu ndani...
 
Kiswahili sijawahi kulikubali, nayale maswali yake:
Fasihi ni sufuria mara ukoko Jadili.
 
Biology na Geography, Chemistry niliipenda ila yenyewe haikunipenda
 
Habari za mida hii ndugu zanguni kama kawa kama dawa, tupo tunalisongesha gurudumu la maisha na tupeane pole kwa Corona ila tujikinge na tuwakinge wengine.

Basi baada ya hayo tuamie kwenye maada hapo juu! Tiririka ni somo gani ulikuwa hulipendi toka shule ya msingi, Mimi ni mathematics aisee hapo ujanja wote mfukoni.
Kiswahili
 
O-level (Math, physics, chemistry)
A-level (history)
Chuo-(history)
 
O level.
Kiswahili
Civics.
History

A level
GS

University
Hakuna.
 
Back
Top Bottom