EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Kijijini baba hatembei na mwanawe?Tuliokulia vijijini, na kuishia kuchunga ng'ombe tusome comments tu.
We kama mwanangu maana anapenda saana kushika stering wakati naendesha big- up saana kwa mshuaNa baba, kila nilichokuwa nataka napewa plus nakaa siti ya mbele na kuna mda alikuwa ananipakata nashika uskani naendesha.
Bi maza mtu wa misele ambayo haina tija na menu hupati mpaka mrudi home.
Mkuu mimi kuna mda.nimekaa sana kijijini Puma Singida nimechunga saaaana ng'ombe na mbuziTuliokulia vijijini, na kuishia kuchunga ng'ombe tusome comments tu.
Muulize weweKijijini baba hatembei na mwanawe?
Mimi wote nilikua nafurahi kusafiri nae, ila mother nilikua na-enjoy zaidi hasa kwenye ishu za Kula kama vile juice, biscuit, chips wali. Father yeye zaidi nilkua na-enjoy kununuliwa nguo mpya kila tukisafiri..Naomba niwe mkweli. Mimi enzi hiyo nikitoka na mshua naenjoi saana yaani; kila kitu ntanunuliwa na iwe icecream, juisi, karanga nguo, viatu fresh ila maza alikua anabana saana aisee.
Hebu nipe upande wako nani ulifurahi kutoka nae, Maza au dingi?
Kikao kimeanza
Mimi wote nilikua nafurahi kusafiri nae, ila mother nilikua na-enjoy zaidi hasa kwenye ishu za Kula kama vile juice, biscuit, chips wali. Father yeye zaidi nilkua na-enjoy kununuliwa nguo mpya kila tukisafiri..Naomba niwe mkweli. Mimi enzi hiyo nikitoka na mshua naenjoi saana yaani; kila kitu ntanunuliwa na iwe icecream, juisi, karanga nguo, viatu fresh ila maza alikua anabana saana aisee.
Hebu nipe upande wako nani ulifurahi kutoka nae, Maza au dingi?
Kikao kimeanza
Kwanini?Baba...
Jamaa unadanganya aisee so mshua alikua anabana??[emoji848][emoji848][emoji848]Mimi wote nilikua nafurahi kusafiri nae, ila mother nilikua na-enjoy zaidi hasa kwenye ishu za Kula kama vile juice, biscuit, chips wali. Father yeye zaidi nilkua na-enjoy kununuliwa nguo mpya kila tukisafiri..
Mzee baba hataki mambo ya kufuafua ananunua nyingine[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi wote nilikua nafurahi kusafiri nae, ila mother nilikua na-enjoy zaidi hasa kwenye ishu za Kula kama vile juice, biscuit, chips wali. Father yeye zaidi nilkua na-enjoy kununuliwa nguo mpya kila tukisafiri..
Kweli mkuuSasa mnataka kufanya wengine tulie tu hapa, mtoko wa nje ya nchi mara zote tunasafiri na bi mother. Mdingi yeye local tu ila wee acha tu. Kila mmoja na raha yake na wakati wake
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
hapana wote kwa wakati wao nilikua na-enjoy mkuu..Jamaa unadanganya aisee so mshua alikua anabana??[emoji848][emoji848][emoji848]