Tusabuni ka guest kiwe kikubwa jamani

Tusabuni ka guest kiwe kikubwa jamani

Mimi nafikiri nisawa tu kuweka vijipande vidogo na kukibailisha kila mgeni akicheck out! Sasa wewe hujawaza hili... wakiweka sabuni kubwa kama Geisha/Lux/detol itakuwa ni gharama kwa matumizi ya mtu mmoja/wawili kwa siku mmoja? na hata kiafya pia haishauriwi kushare sabuni wajameni!!!

Maana wakianza kuweka sabuni kubwa tu basi utakuta baada ya Jewel kucheck out na wewe ukacheck IN utatumia hio hio! ikibakia unafikiri nani atatumia?! vile vijipande ni halali yake maana ukiweka kwenye maji basi unakimaliza mwenyewe uongo?!

Me nashauri ikiwa unataka kujinafasi kuoga huko Lodging basi beba na sabuni yako kubwa maana utaweza kurudi nayo nyumbani na kuendelea nayo kimatumizi zaidi.




Mmmhhhh najua yawezekana ni siku nyingi sijaenda lakini hope kwa wale wa current members wanaweza shauri hili ...kuna visabuni vidogo vidoo hasa lodge za sinza sijui wanabana ama lah

kwa kweli kwa pesa wanayotoa watu si vyema wakawaachia sabuni kubwa ama hataikiwezekana wawanunulie za alovera original...kama kuna mwenye lodge namkaribisha forever member.....

Leo hii nikaona si mbaya kama uko jamvini ama una ndugu ana guest ama lodge mkumbushe aweke sabuni kubwa za kawaida sio wanachukua sabuni wanakata vipande vya rum kumi walahi kama unajipanguse yaani jiiiiiiiipanguse shwa shwa...nafikiri inawezekana wanahisi watu wanaondoka nazo lakini imefika wakati mjue si wote na wengi wanakuja uko kwa sababau ya wizi na si just kustarehe starehe wanazipata kwa wake zao

tunashukuru kama mtajirekebisha kwa hili
 
Kadooogo afu wanakakata nuthu... mweh!!!!:bored:

Mkeshahoi bana:

Nusu ya kale kasabuni haiwezi kushikika kwenye kiganja!

And after all watumiaji wa tule tusabuni huwa wana haraka ya kurudi nyumbani, kwahiyo ndiyo maana SAM anasema waongeze ukubwa!
 
me nadhani hizo sabuni ndogo zimetengenezwa maalum kwa ajili hiyo ziwekwe matotelini na kwenye hizo nyumba za wageni, kwani wanadhingatia afya ya mtumiaji,
1. Unaingia hotelini ama gesti hausi unakuta sabuni imelowa majimaji utaweza kuitumia??
sina shaka na huyu mwenzetu nahisi kazoea sabuni moja kuogea yeye, mkewe, watoto, mkwe, pamoja na wengine wengi, hivi ukiweka GEISHA asubuhi utaibeba kwenda nayo home au utaiacha kisha nani aje kuitumia.
 
Duh...yuko jamaa mmoja ana shughuli maalum na hiyo mbuni....anaipenda kama wife akikukuta dukani unaishika anashikwa na wivu ile mbaya:A S 2152:


haaaahaaaa sema tu ukweliiiii jipanguseeeeeeeeeee rwaaaaaaaa raaaaaaaaaahhh raaaaaaaaaaaahhhh
 
haaaahaaaa sema tu ukweliiiii jipanguseeeeeeeeeee rwaaaaaaaa raaaaaaaaaahhh raaaaaaaaaaaahhhh

Sio utani....hata akiwa baa baada ya kunywa supu ukinawa anakuangalia vibaya ukichelewachelewa tu anakunyang'anya hiyo soap...mawivu kibao kwa soap
 
Back
Top Bottom