Hakikisha haugombani na majirani wenye nyumba zenye mawe-pongezi kwa kwenda kisasa zaidi
Karibuni wakuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibuni wakuu.
Umetisha mkuu 🙏Kwanza Mlango wa Aluminium ni bei nafuu. Frem moja ya Mlango ubao wa Mninga unapigwa hadi laki 3, Mlango wenyewe laki 6 hadi 8. Jumla gharama za Mlango mmoja ni 1 M, lkn aluminium mlango mmoja i Laki 3-6 kutegemea na unene wa kioo na aina ya chuma.
Pili aluminium inahimili ajali ya moto. Hatuombei mabaya lakini amini nakwambia inapotokea ajali ya moto aluminium yaweza kuwa msaada.
Tatu aluminium ni tiba ya mchwa na wadudu wallnaokula mbao.
Nne Aluminium inahamishika kirahisi kutoka nyumba moja kwenda nyingine pale unapoamua kubadili mazingira maana ni kitendo cha kufungua kwa srewdriver. Lakini mlango ujengewa kwa cement nk.
Tano aluminium ni rafiki wa mazingira. Fikiria ni miti mingapi inapoteza Uhai ili nyumba yako ikamilike? Chukua hatua kwa kutumia aluminium.
Mbao.
Mbao ni aghali.
Mbao zinaleta mvuto endapo utaamua kuweka maua na urembo.
Mbao zinakuza uchumi wa ndani maana zinatengenezwa hapa hapa.
Wakuu Karibu Mihogo ya kuchoma hapa Mtaa wa Mfaranyaki ndani ya Songea nyumbi bombi hapa.
Kwa urembo milango ya aluminium ni the best, ila kiusalama mbao ndio nzuri.Tusaidiane faida na changamoto za kuweka milango ya aluminium kwenye nyumba ya kuishi kama mbadala wa milango ya mbao milangoni?
Vyumbani weka mbao. Chooni weka aluminium. Kiusalama zaidi.Mlangobwa kuongili naweka wa chuma mkuu
Nilifikira vyumbani niweke aluminium vp hapo???
Ahsante mkuu ahsante sanaKwanza Mlango wa Aluminium ni bei nafuu. Frem moja ya Mlango ubao wa Mninga unapigwa hadi laki 3, Mlango wenyewe laki 6 hadi 8. Jumla gharama za Mlango mmoja ni 1 M, lkn aluminium mlango mmoja i Laki 3-6 kutegemea na unene wa kioo na aina ya chuma.
Pili aluminium inahimili ajali ya moto. Hatuombei mabaya lakini amini nakwambia inapotokea ajali ya moto aluminium yaweza kuwa msaada.
Tatu aluminium ni tiba ya mchwa na wadudu wallnaokula mbao.
Nne Aluminium inahamishika kirahisi kutoka nyumba moja kwenda nyingine pale unapoamua kubadili mazingira maana ni kitendo cha kufungua kwa srewdriver. Lakini mlango ujengewa kwa cement nk.
Tano aluminium ni rafiki wa mazingira. Fikiria ni miti mingapi inapoteza Uhai ili nyumba yako ikamilike? Chukua hatua kwa kutumia aluminium.
Mbao.
Mbao ni aghali.
Mbao zinaleta mvuto endapo utaamua kuweka maua na urembo.
Mbao zinakuza uchumi wa ndani maana zinatengenezwa hapa hapa.
Wakuu Karibu Mihogo ya kuchoma hapa Mtaa wa Mfaranyaki ndani ya Songea nyumbi bombi hapa.
Raia wakikutaka hata mlango wa mawe wanakuchomoa ,usamala pekee ni mwenyezi MunguKwa urembo milango ya aluminium ni the best, ila kiusalama mbao ndio nzuri.