[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukihesabu ndio kusema mtoto ataezaliwa atakuwa ni bright?
Cha msingi kwa kuwa mimba ipo nyie wekeni tu maandalizi ya kumpokea mwana mtarajiwa.
THANKS Ila fafanua zaid eg mara ya mwisho alianza 5/8/2017Haitumiki tarehe aliyomaliza hedhi bali siku aliyoingia hedhi kwa mara ya mwisho. Tuseme ni tarehe 1/8/17 hiyo ndio siku aliyeanza hedhi kwa mara ya mwisho, kwenye siku toa 7 na kwenye mwezi ongeza 9 ndio utapata tarehe ya matarajio ya kujifungua. Hivyo 25/5/18 ndio tunakisia atajifungua plus or minus 2wks.
Simple toa siku saba kwenye siku na ongeza 9 kwenye miezi. Itakuwa 29/5/18 ndio tarehe ya makisioTHANKS Ila fafanua zaid eg mara ya mwisho alianza 5/8/2017
Ni lazima uzingatie kuwa miezi mengine ina 30 days mengine ni 31 and so forth. Na miezi ni 12 only tu so after inafuata January ndio maana 8+9=17. Kwahiyo 17-12=5 ndio maana itakuwa mwezi wa tanoSimple toa siku saba kwenye siku na ongeza 9 kwenye miezi. Itakuwa 29/5/18 ndio tarehe ya makisio
Thanks mtoto mzuri now get u clearly, ubarikiwe allah akupe maarifa zaidi. Sema aminNi lazima uzingatie kuwa miezi mengine ina 30 days mengine ni 31 and so forth. Na miezi ni 12 only tu so after inafuata January ndio maana 8+9=17. Kwahiyo 17-12=5 ndio maana itakuwa mwezi wa tano
Ameen[emoji120]Thanks mtoto mzuri now get u clearly, ubarikiwe allah akupe maarifa zaidi. Sema amin
not minus 7 it is plus 7 na hii ni kwa wale wenye cycle ya 28days ambao ni approximately 90% of the population sababu hao wanapata hedhi kwa siku 5-7 so after hizo siku ndo tunategemea ovulation kua imetokeaHaitumiki tarehe aliyomaliza hedhi bali siku aliyoingia hedhi kwa mara ya mwisho. Tuseme ni tarehe 1/8/17 hiyo ndio siku aliyeanza hedhi kwa mara ya mwisho, kwenye siku toa 7 na kwenye mwezi ongeza 9 ndio utapata tarehe ya matarajio ya kujifungua. Hivyo 25/5/18 ndio tunakisia atajifungua plus or minus 2wks.
Nisaidie ushauri, njia ipi nzuri na sahihi kutumia ya uzazi wa mpango? Naomba madhara na faida ya njia pendekezwa.Ameen[emoji120]
Hivi hii hali ya uchumi haitoshi kuwa njia ya uzazi wa mpango mkuu??(joking[emoji38] ). Hakuna njia mbaya, njia inategemea mtu na mtu kwa kuzingatia mambo mengi kama umri, physique yake (yaani kama ni mnene au mwembamba), ushirikiano na mwemza wake kwenye swala hili, mzunguko wake wa hedhi, dedication yake, hali yake kiafya (kama ana shinikizo la damu nk), idadi ya watoto alionao, imani yake, atahitaji mtoto mwengine baada ya muda gani etc. Kwa kuzingatia yote hayo ndio unamsaidia mtu kuchagua njia ambayo itakayo kuwa rafiki kwake.Nisaidie ushauri, njia ipi nzuri na sahihi kutumia ya uzazi wa mpango? Naomba madhara na faida ya njia pendekezwa.
Asante.!!