Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,754
- 8,750
Kwa wale wataalam wa afya mfano wauguzi, madaktari na ma lab technician wanaokutana na mazingira mengi ya kushika damu za wagonjwa.
Ajali kazini hutokea mfano daktari anamfanyia OP mgonjwa ambaye ni HIV positive sasa bahati mbaya drop ya damu ikamrukia ndan ya jicho.
Swali HIV wanaweza penetrate through eyes njia hii ina aailimia ngapi za kumpa maambukizi victim!??
Nawaailisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajali kazini hutokea mfano daktari anamfanyia OP mgonjwa ambaye ni HIV positive sasa bahati mbaya drop ya damu ikamrukia ndan ya jicho.
Swali HIV wanaweza penetrate through eyes njia hii ina aailimia ngapi za kumpa maambukizi victim!??
Nawaailisha
Sent using Jamii Forums mobile app