Habari zenu wadau,jaman kuna jambo linanipa shida,
nina rafiki yangu kaniomba ushauri kuhusu ualimu,binafsi sijui lolote kuhusu ualimu kwa kuwa nasoma fani tofauti nayo,
Anasema a'level alipata div iii ya point 15,combination ya HKL na ana principle moja nyingine ni subdisiary je?anaweza kukubaliwa kuchukua degree?ila o'level alifaulu vizuri,
Na vyuo anavyoweza kusoma ni vipi?nitashukuru wadau maana rafiki amekata tamaa kwa stress alizonazo.
Nawasilisha.
nina rafiki yangu kaniomba ushauri kuhusu ualimu,binafsi sijui lolote kuhusu ualimu kwa kuwa nasoma fani tofauti nayo,
Anasema a'level alipata div iii ya point 15,combination ya HKL na ana principle moja nyingine ni subdisiary je?anaweza kukubaliwa kuchukua degree?ila o'level alifaulu vizuri,
Na vyuo anavyoweza kusoma ni vipi?nitashukuru wadau maana rafiki amekata tamaa kwa stress alizonazo.
Nawasilisha.