The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Wakati unatafuta jina, umejipanga sawa sawa kuhusu ubora wa chakula na huduma mkuu?
Huduma ikieleweka hata uite Jina gani, itabaki tu kwenye akili za watu.
Huwa nawaambia watu wanaohangaika kutafuta Namba nzuri au special ya simu, kama mtu anashida na wewe au una vitu vya msingi wnavyovihitaji watu, ugumu wa namba yako hauna shida wala sio kikwazo.
Sorry kwa kutoka nje ya mada
Huduma ikieleweka hata uite Jina gani, itabaki tu kwenye akili za watu.
Huwa nawaambia watu wanaohangaika kutafuta Namba nzuri au special ya simu, kama mtu anashida na wewe au una vitu vya msingi wnavyovihitaji watu, ugumu wa namba yako hauna shida wala sio kikwazo.
Sorry kwa kutoka nje ya mada