Tusaidiane kubuni Jina la biashara

Tusaidiane kubuni Jina la biashara

Wakati unatafuta jina, umejipanga sawa sawa kuhusu ubora wa chakula na huduma mkuu?
Huduma ikieleweka hata uite Jina gani, itabaki tu kwenye akili za watu.

Huwa nawaambia watu wanaohangaika kutafuta Namba nzuri au special ya simu, kama mtu anashida na wewe au una vitu vya msingi wnavyovihitaji watu, ugumu wa namba yako hauna shida wala sio kikwazo.

Sorry kwa kutoka nje ya mada
 
Mkuu watu wengi huwa hawajui tofauti ya Hotel, Restaurant, Food Court, Motel n.k. anyways kwa muda wako utapitia kuona tofauti zake!
Lakini pia kuna haja ya kujielimisha kidogo juu ya jina zuri la biashara liwe na sifa zipi, unique, simple, lisilo sahaulika, liwe na image yako, familia, taifa n.k
... fikiria aliyebuni jina la migahawa ya "McDonalds"simple as that lakini habari yake sote tunaijua...
We mzee naona kama una ma-ujuzi ya phraseology na ma-formulation (itamke ka bi kiroboto). Unaonaje ukiokoa jahazi?
 
Kenzy? hapana-utaniburuza kwa pilato( litigation) na msingi wenyewe huu nimekopa kwa kimei ndiyo nitaingia moja kwa moja kwenye ile ratio ya 1:4.
Bora kuchukua tahadhari kama vipi achana nalo
 
georgeallen motel? litabamba kweli? Hebu nipe tafu kwa hili -any other suggestions you could think of will be highly appreciated!
 
Wakati unatafuta jina, umejipanga sawa sawa kuhusu ubora wa chakula na huduma mkuu?
Huduma ikieleweka hata uite Jina gani, itabaki tu kwenye akili za watu.

Huwa nawaambia watu wanaohangaika kutafuta Namba nzuri au special ya simu, kama mtu anashida na wewe au una vitu vya msingi wnavyovihitaji watu, ugumu wa namba yako hauna shida wala sio kikwazo.

Sorry kwa kutoka nje ya mada
safi sana. asante kwa mchango mujarabu
 
We mzee naona kama una ma-ujuzi ya phraseology na ma-formulation (itamke ka bi kiroboto). Unaonaje ukiokoa jahazi?
Mkuu ingekuwa Logo kweli, Ndiyo maana kuna wabunifu wa Logo! Jina linahitaji hisia na uchaguzi wa mhusika/wahusika kwa sehemu kubwa sana.
Ila labda kwa kuwa ni roadside facility binafsi ningependa...
*"CruizIN" Motel... *"Soother" Motel
 
Wandugu, ili kujikomboa na halii hii ngumu ya maisha iliyotunyemelea hapa nchini miaka hii, mwenzenu nimejipigapiga na kufanikiwa kujenga mjengo kwa ajili ya biashara ya nyumba ya kulala wageni, bar, na mgahawa. Majengo ya biashara hii yapo kando kando ya moja ya barabara kuu za Tanzania na muda si mrefu itaanza kazi. Tatizo langu kubwa kwa sasa ni jina gani litabamba kwa hii biashara na ukweli ni kuwa kila jina ninalolifikiria naliona kama siyo au tayari linatumika sehemu fulani huko duniani. Majina kama Dynasty club, Ecape six, Elewana, oriental resort, Highway comfort, Hillside hideaway, Palmview motel, Hillsview inn, Darway motel, africana, Bell air, Mel rose Place au hata "Mara lago club" la yule babu anayewania urais USA yote yameishachukuliwa au siyo mageni tena kwenye masikio ya watu. Ni kwa sababu hizo na nyingine za kibiashara au kisheria basi nakuja kwenu kuomba msaada wenu kubuni jina la biashara yangu hii.
club paradi$o
 
Back
Top Bottom