Nina rafiki yangu alichanja mwaka jana, yeye aliumwa corona ile ya kwanza na kupumulia Oxygen kwa siku 4 na akashuhudia ndugu yake akifariki kwa corona. Hakutaka kusubiri siasa zetu hizi, faster tu kaenda kwa wenzetu kapata na mkeweNashindwa kuelewa kwanini mtoa mada hakulijua hilo....Yaani JK mpaka sasa awe hajachwanjwa asubiri za bure?? Kama kina AY walishachanjwa zamani miezi karibu mi5 iliyopita ndio JK asichanjwe?
Nina rafiki yangu alichanja mwaka jana, yeye aliumwa corona ile ya kwanza na kupumulia Oxygen kwa siku 4 na akashuhudia ndugu yake akifariki kwa corona. Hakutaka kusubiri siasa zetu hizi, faster tu kaenda kwa wenzetu kapata na mkewe
Ndo maana naomba hawa wawili waisikilizie. Hivi bado tunawahitaji ktk siasa zetu?Acha ujinga ww, chanjo ni hiari! Kama vipi nenda kachanje mwenyewe ili uisikilizie mwenyewe live vile itakavyokuwa inakufanya! Hii itakusaidia badala ya kusikia ya kuambiwa ama kuwatazama wengine!
Mie ktk hili nipo na askofu Gwajima, π!
That was stupid! Kinga aliyopata baada ya kupona ni kubwa kuliko aliyopata kwa kuchanja. Yaonekana ni bwege wa biolojia!Nina rafiki yangu alichanja mwaka jana, yeye aliumwa corona ile ya kwanza na kupumulia Oxygen kwa siku 4 na akashuhudia ndugu yake akifariki kwa corona. Hakutaka kusubiri siasa zetu hizi, faster tu kaenda kwa wenzetu kapata na mkewe
Hao afya zao mbovu!! Ukiongeza J&J kidogo tu, roho inatoka.Lowassa na Sumaye Msuya na Malecela Hawa Vipi
Mbona hajafa? Basi nchi haipendwi Mbinguni. Mi naombea wote hawa waliochanjwa wafilie mbali ili tuanze na kizazi kipya cha wanasiasa.Unajuaje Kikwete hajachanjwa?
Kuna Watanzania wamechanjwa miezi mingi iliyopita.
Za kuambiwa changanya na zako.
ππππππNimekuelewa sana unapoelekea. Huyu speaker huwa anakuwaga kimbelembele sana kwenye shughuli za ikulu sijui amekimbilia wapi kwenye hii chanjo. Atafutwe wamchanje mzee wa msoga yuko zake viwanjaNiliona kundi kubwa la wansiasa waliowahi chanjo lakini nasikitika kwamba watu wawili ktk siasa za sasa hawakuonekana; Spika wa bunge letu, mzee wa presentation na mstaafu Kikwete, mzee wa bandari. Walikuwa wapi watu hawa wakati wenzao wanawahi viti?
Kama chanjo itafanya tunachotaka ikifanye kwa wanasiasa, ni muhimu wakachanjwa maana matumaini yangu ktk chanjo hii ni makubwa na huenda ikatusaidia kuondoa mambo muhimu ya kisiasa miezi ijayo. Angalau tuanze kizazi kipya cha wansiasa.
[emoji28][emoji28][emoji28] duuuuNiliona kundi kubwa la wansiasa waliowahi chanjo lakini nasikitika kwamba watu wawili ktk siasa za sasa hawakuonekana; Spika wa bunge letu, mzee wa presentation na mstaafu Kikwete, mzee wa bandari. Walikuwa wapi watu hawa wakati wenzao wanawahi viti?
Kama chanjo itafanya tunachotaka ikifanye kwa wanasiasa, ni muhimu wakachanjwa maana matumaini yangu ktk chanjo hii ni makubwa na huenda ikatusaidia kuondoa mambo muhimu ya kisiasa miezi ijayo. Angalau tuanze kizazi kipya cha wansiasa.
Hii ni picha ya zamani April mwaka 2015View attachment 1872816 Unadhani alifikaje huku bila kuchanjwa?
Niliona kundi kubwa la wansiasa waliowahi chanjo lakini nasikitika kwamba watu wawili ktk siasa za sasa hawakuonekana; Spika wa bunge letu, mzee wa presentation na mstaafu Kikwete, mzee wa bandari. Walikuwa wapi watu hawa wakati wenzao wanawahi viti?
Kama chanjo itafanya tunachotaka ikifanye kwa wanasiasa, ni muhimu wakachanjwa maana matumaini yangu ktk chanjo hii ni makubwa na huenda ikatusaidia kuondoa mambo muhimu ya kisiasa miezi ijayo. Angalau tuanze kizazi kipya cha wansiasa.
Unajua Mama Mghwira mwaka ajana aliumwa corona na kupona na mwaka huu nini kimetokea?That was stupid! Kinga aliyopata baada ya kupona ni kubwa kuliko aliyopata kwa kuchanja. Yaonekana ni bwege wa biolojia!
Thibitisha Mghwira amefariki kwa corona? anza na hilo. Then jikumbushe kama aliyewahi kuungua ndui na kupona alihitaji chanjo.Unajua Mama Mghwira mwaka ajana aliumwa corona na kupona na mwaka huu nini kimetokea?
Unajua pia mapafu ya mtu ambaye alipata pneumonia ya coroma huwa hayarudi kama kawaida, kuna kuwa na effect kubwa inaacha kiasi? Mtaalamu wa biolojia tuambie
Hahahahaha, iwafyeke wote sio? Wakamatwe wakachanjwe kwa nguvu ππππNiliona kundi kubwa la wansiasa waliowahi chanjo lakini nasikitika kwamba watu wawili ktk siasa za sasa hawakuonekana; Spika wa bunge letu, mzee wa presentation na mstaafu Kikwete, mzee wa bandari. Walikuwa wapi watu hawa wakati wenzao wanawahi viti?
Kama chanjo itafanya tunachotaka ikifanye kwa wanasiasa, ni muhimu wakachanjwa maana matumaini yangu ktk chanjo hii ni makubwa na huenda ikatusaidia kuondoa mambo muhimu ya kisiasa miezi ijayo. Angalau tuanze kizazi kipya cha wansiasa.
Naona yuko na Bill gates, anaekomalia chanjo badala ya tibaView attachment 1872816 Unadhani alifikaje huku bila kuchanjwa?
Kwani waliochanjwa ni wanasiada tu?Mbona hajafa? Basi nchi haipendwi Mbinguni. Mi naombea wote hawa waliochanjwa wafilie mbali ili tuanze na kizazi kipya cha wanasiasa.
Vipi yule dakitari wa kiembe samaki pamoja na baba yake wamechanjwa?Niliona kundi kubwa la wansiasa waliowahi chanjo lakini nasikitika kwamba watu wawili ktk siasa za sasa hawakuonekana; Spika wa bunge letu, mzee wa presentation na mstaafu Kikwete, mzee wa bandari. Walikuwa wapi watu hawa wakati wenzao wanawahi viti?
Kama chanjo itafanya tunachotaka ikifanye kwa wanasiasa, ni muhimu wakachanjwa maana matumaini yangu ktk chanjo hii ni makubwa na huenda ikatusaidia kuondoa mambo muhimu ya kisiasa miezi ijayo. Angalau tuanze kizazi kipya cha wansiasa.
Unajuaje Kikwete hajachanjwa?
Kuna Watanzania wamechanjwa miezi mingi iliyopita.
Za kuambiwa changanya na zako.
Wastaafu wote wanafanyiwa chanjo majumbani mwao. Na tusisahau kuna baadhi ya watu walikwenda kutafuta chanjo njee ya nchi, weshapiga vaccine za Faizer na Sinopharm